Recent content by Elineemah

  1. E

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Umenihuzunisha sana "hatujifunzi sayansi kupitia YouTube" na huko nyuma umesema kwenye post yako umenukuu baadhi ya studies ambazo zilichapishwa kwenye majarida, YouTube is just a means of sharing info, kwahyo ulitaka hao wakina janabi wapiti kwenye majumba kutoa baadhi ya shauri za kiafya...
  2. E

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Hiyo paragraph ya mwisho umechanganya bia na juice na soda na mafuta na maji, kwanini ifanyike research kama hyo wakati majibu yapo wazi?? Kama wasomi wote mmekimbilia siasa hata hzo hela zikiandaliwa kwaajili ya health related research si watazilamba zote?? Pia kuna channel ya YouTube nadhani...
  3. E

    IMF yatoa orodha ya nchi 15 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tanzania yashika namba 9 ikiwa na uchumi wa Dola Bilioni 80

    Kwahy hata wa Mr.elon hatujafikia, na hata Facebook tukisema tuinunue tunabaki weupee🤔
  4. E

    Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

    Ni majambo madogo madogo tu ya hapa na pale, binaadam mkikaa pamoja yaweza kutokea hasa kwa hali ya Mume&Mke. Sina ushauri kwasababu maamuzi uliyoyachukua hayakua maoni yangu.
  5. E

    Kweli mapenzi yananenepesha

    Anha, mna wiki moja, shida n kuwa umeshatumia 50% ya siku zenu za furaha... Sjui itakuaje sasa🤔
  6. E

    Wanaume mna roho mbaya ndiyo maana mnakufa mapema

    Mbna hueleweki, unapenda hit and run tena😂😂😂🚮
  7. E

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    Hamna kitu apa n kuongeza idadi ya threads per day😂
  8. E

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Lengo lako ni nini?? Waulize ambao walikua na maoni km yako wakayatimiza kisha waulize walioendelea kusoma, Hakikisha umewauliza usiwaone tu ukajiongeza .
  9. E

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Viongozi wetu wajitafakari wawajibike kurudisha heshima zao, ukiona watu wanafurahia means wanamtazamo sawa na aliyetukana ni vile wao hawawez kuongea km yeye... Siungi mkono kbs watu kuwatukana viongozi wao kwan nao n binadamu wanaweza wakafny vbaya zaid na kuharibu badal ya kujenga.
  10. E

    Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

    Jamii forum inajiendesha vipi? Nini chanzo kikuu cha mapato
  11. E

    Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

    Nadhani Haya mambo yanahitaji level flani ya mambo ya kiimani zaidi MUNGU aliumba kwa ukamilifu, lakini Kuna mifumo/systems alitengeneza ili vyote vikafanyike kwa hiyo. Bila uhuru upendo ni batili, vyote vifanyikavyo sio kwa kupenda/kutokupenda bali kwa kufuata na kuheshimu mifumo aliyoiweka...
Back
Top Bottom