Mimi mwenyewe nilikuwa namsafirisha mdogo wangu kwenda shuleni nimeambiwa usafiri hamna[emoji23]
Wakati jana saa 3 nimeambiwa limebeba abiria limeenda mlimba.
Na wanaringa wanajua hata mabasi hayafiki mlimba kwa sasa,nimeamua kumrudisha dogo ale sikukuu kwanza.Hawa tazara pumbavu zao
Nchi ngumu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.