Ni mwezi wa tatu unakatika Mshahara tunausikia kwenye bomba, Tuna hali mbaya sana, kwa mwenendo huu sijui tutafikaje?
Hivi kuna kipengele chochote kwenye sheria za kazi kinaongelea kucheleweshwa Mishahara?
Hivi kama kijijini kwenu kuna bucha moja tu LA kuuza nyama halafu mbuzi akaibiwa kijini hapo kesho yake mkakuta ngozi ya yule mbuzi jirani MA lile bucha. Kwahiyo mtasema mwizi ni Yule jamaa WA bucha ama?
Huo utakua ni upopoma WA kiwango cha lami
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.