Recent content by DonaldJr

  1. D

    Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwanini mkoa wa singida mkuu?
  2. D

    Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

    Mimi hiyo shikamo kwangu huwaga ni kama silaha binadamu si wanapendaga heshima….mj hata nikikutana na mtu kajichokoea naona kanizidi umri namtandika shikamo yake akiwa kaka shikamo braza sister,mama au baba kwani shingapi [emoji3][emoji3]basi wanaonaga rahaa wenyewee na binafsi huwa...
  3. D

    Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-

    Hakuna serikali duni kifikra kama Tanzania….ujinga mtupu kuendesha hata mradi wa daladala umewashinda wanachoweza kubuni vitu vya kipuuzi tu.
  4. D

    Angalia Jinsi Akili Bandia (AI) Inavyoanza kupumzisha Wachoraji wa katuni na Wengineo

    Kuna vitu watafanya ila kuna vitu wanashindwa hadi sasa kama ususi wa nywele
  5. D

    Nafikiri hii ndiyo sababu ya matajiri kuitwa katili wasiyo na utu

    Mpromote huyo mwenye juhudi…afu hao madogo usimwonyeshe bila yeye mambo hayaendi yani kwenye maongezi tu ya wakati wote muoneshe mlango wa kuondolewa uko wazi wakati wote[emoji3] atakuwa kwa nidhamu
  6. D

    Nafikiri hii ndiyo sababu ya matajiri kuitwa katili wasiyo na utu

    Ndo mambo wanayotaka hayo mimi nimekaa winga kariakoo sio rahisi kama wanavyodhani hao machaliii…winga wa sasa unatakiwa uwe na mtaji Game pale kariakoo sio kitoto nowadays
  7. D

    Nafikiri hii ndiyo sababu ya matajiri kuitwa katili wasiyo na utu

    Brother mimi nishakutana na upuuzi huo mwingi madogo hawajui nini wanataka ana vitu anapenda huyo ila mimi huwa nawapa muda tu…we kupambana hivyo sio kuwa umekosa namna ili utimize maono yako uliyonayo na ili maono yafikie lazima uende na watu huyoo si mtu sahihi kwenye biashara yako…mkatae we...
  8. D

    Zaidi ya Vijana 100 waondoka kwenye mradi wa BBT, sababu yadaiwa hakuna uelekeo

    Naunga mkono hoja yako…majuzi nilikutana na kijana mmoja alikuwa kwenye huo mradi yani ni madudu matupu watu walitengeneza kamchongo cha kulamba tu hela kwenye mashirika wezeshi basi….wamepotezea vijana muda tu…kwa propaganda zao
  9. D

    Shikamoo biashara

    Big point[emoji419]
  10. D

    Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

    Hakika usipopitia hivyo vipindi ni ngumu,kupata mguso wa ndani…ila kubwa Hakikisha mkeo,Amepata Neema ya kumjua Yesu kristo…Na ikitokea Yesu atamwita kwake…Atakuwa amempa uponyaji wa mwisho…Pole sana kaka Nasi tunawaombea Neema Yake MUNGU iwashike katika hichi kipindi
  11. D

    Nimekata tamaa, nimechoka! Naona haya maisha hayana faida!

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1316]
  12. D

    Nimekata tamaa, nimechoka! Naona haya maisha hayana faida!

    Pole Ndugu! Cha kwanza uko kwenye kipindi cha kukomazwa,ila nikutie tu moyo mtumaini MUNGU Pekee atakuvusha Nyakati kama hizo zinakujaa na maumivu ya namna mbalimbali…ila kiri ushindi kila siku Pili badili mtazamo ikitokea umebahatisha kijisenti Anzisheni kabiashara hata kadogo Mfano: hata...
Back
Top Bottom