Niliichukua muda mrefu sana kuomba hizi scholarships kutokana na maelezo ya uongo kama haya nilikuwa nahofia sina IELTS na sina first class naipataje scholarship. Ndio kuna vyuo ni lazima hizo vitu ila kuna vyuo vingi tu na school nyingi sana hawataki hayo mavitu.
Mfano vyuo vya UK ukiingia...
Kama una huo ufaulu omba scholarship hata kama umeomba vyuo vya ndani ukipata usiache kuomba scholarship za nje utapata ukipata usaidizi wa kujqziwa vizuri, ukipata unaachana na vyuo vya Tanzania unaenda nje.
Nimepewa admission letter chuo kimoja cha Findland.
Yeah ni kweli vyuo vingine ni condition letter na condition yao ni ada tu nilipe kiasi ndio wanipe admission letter na CAS kwa vyuo vya UK
Dah mkuu nna experience kama yako, inaumiza sana ndoto zinapozimika. Nimekosa scholarship nilipata chuo Malmo.
Heaven Seeker atatusaidia labda mwakani tuboreshe wapi. Sweden is my dream country
Mambo vipi mkuu, mimi ni education pro. Ni mwalimu by profession na pia nimewai fanya miradi ya elimu na kuandika Swahili articles za elimu, pia vitabu. Nina account ipo linked in nimejitahidi kufanya optimization lakini sijawai pata any contact ya mtu au shirika likiwa interested na mimi...
Nimeomba course za English na nimepata admission sijaombwa hiyo kitu japo kuna vyuo walitaka nikavipotezea. So hiyo IELTS ni muhimu ila sio kikwazo kupata chuo.
Mimi sijawai fanya mtihani wa IELTS na nimepata admission zote hizo bila condition ya IELTS. Kuna vyuo kama ukionesha A level umesoma Tanzania au bachelor umesoma Tanzania hawadai cheti cha IELTS...nchi niliyoona inakomaa na IELTS ni finland
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.