Kuna ombaomba ni majasiri sana na hawana aibu. Ukiacha kwamba anataka Patriot 2 zenye zaidi ya $3 B bado anakwambia anahitaji si chini ya F-16 100 hadi 130. Afanye tu ayajenge na Putin wamalize huu mzozo otherwise hamna wa kutekeleza haya mahitaji yake.
Dingi hua mara nyingi anaingia chaka sema kwa heshima aliyonayo hapa haandamwi kama wengine. Ila kiufupi ni mtaalamu sana wa kuandika upuuzi kwa maelezo ya kuvutia.
Mkuu nakuhakikishia kwa namna Magufuli anavochukuliwa na raia wa kipato cha kati na chini hili halitasaidia. Japo sina uhakika kama jiwe ndo alihusika na kama kweli Lissu alikuwa anaifitini nchi kwenye mzozo na Barrick ukiweka poll ya wangapi wana support hatua zilizochukuliwa dhidi ya mfitini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.