Habarini ya kazi.
Naomba kufahamu kwa wanaojua, hivi kuku aina ya Malawi wale wanaopatikana sana Mbeya huatamia na kuangua mayai yao ama nao ni kama chotara wa kawaida wanataga tu pasipo kuatamia mayai?
Sio mara zote favorite team hushinda, hutokea pia underdog team ikashinda kama ambavyo Simba SC ilishamshinda mara kadhaa Al-Ahly. Lakini ukweli unabakia palepale Morocco kama Taifa wametuzidi mbali Sana pia Raja CA na Simba SC ni mbingu na ardhi kwa Kila kitu.
Quality ya Raja CA sio sawa na ya TP Mazembe kaka. Ligi ya Morocco [Botola Pro] sio sawa na Ligi ya Jamhuri ya Kidemikrasia ya Congo [Linafoot]
Nawasilisha.
Shukrani Sana kaka. Nimesoma andiko moja kwamba majike huwa yanapoteza sifa ya kuatamia na kwamba hata akiatamia ana kuwa hana consistency nzuri anaweza ishia njiani kwa mfano. Vipi haijawahi tokea kwako hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.