Recent content by Black poison The Factor

  1. B

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    ☕ Kitu hicho hapo
  2. B

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Hatari sana, sisi wa 80 80 tukae mbali
  3. B

    Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

    Ndo sijaelewa hapo, miaka kumi uwe na demu
  4. B

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Achana na maneno ya wapuuzi 😀😀😀😀 ila semajo la kafo linachekesho
  5. B

    Ndoto ilikuwa ni kuwa Professor ila kwasasa ni mkata mkaa

    Watoto wadogo ukiwauliza kwamba ukiwa mkubwa unataka kuwa nani? Utasikia vitu vingi sana ila ngoja akue sasa akutane na mwalim Dunia, wee utamkuta anachoma mkaa. Story ya watoto inafanana na ya ndugu zetu kolokopo. Kipindi msimu unaanza walikua wanabwabwaja balaa, kwasasa naona kimya...
  6. B

    Kihasibu: Simba kushiriki loosers cup 2025

    Homer Simpson katuni wa maana kabisa
  7. B

    Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

    Kila point tatu ziwekwe hapa
  8. B

    Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

    Hii ni changamoto inayosumbua sana, Mimi kipindi nipo kwenye mahusiaono tuliachana sababu hiihii. Anakua anawaza kwamba marafiki zako Wanakutengenezea madem wengine
  9. B

    Niliyoyaona Jana kwenye mechi ya Yanga

    Hii ni makala ambayo nitaelezea kidogo yaliyokuepo Jana. Baada ya shamrashamra za kujiandaa kupokea ubingwa ilibidi lipigwe kabumbu Moja matata sana,, kabumbu ambalo lilianza kwa furaha kedekede. Lakini kipindi mchezo unaendelea nyuso za wapenda soka walioipenda young African's zilikosa...
Back
Top Bottom