Recent content by black jeus

  1. black jeus

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Mind your own busness, lengo lako limeshatimia,umeokoa maisha ya malaika...
  2. black jeus

    Wanawake wa Kiha hupenda wanaume wanaopenda kamseleleko

    Kwahiyo mnasimanga dada zetu na dada zetu
  3. black jeus

    Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

    Nilitembea na mama yake,akajua urafiki ukafia hapo[emoji23]
  4. black jeus

    Wanawake wengi siku hizi ni mashetani

    Point yako ni ipi?ushauri,taarifa au simulizi?
  5. black jeus

    Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

    Ulikaa nae muda gani kabla hujamuoa?ulimuonyesha nin kama kishawishi cha yeye kukukubalia?,ulimpenda ukamuaproach au alijileta mwenyewe ?kiufupi hakuna ndoa rahis,be calm solve your own for yourself
  6. black jeus

    Wanaume wa kaskazini waangaliwe upya wananyanyaswa sana na wanawake zao hakika

    Bila shaka hata wewe ni miongoni mwao,umefanya vema kujisemea
  7. black jeus

    Anaolewa tarehe 25 mwezi huu lakini ananipa mzigo kila ninapohitaji

    Kumbuka tu,muosha naye huoshwa,kama sio mkeo basi wanao
  8. black jeus

    Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Uvivu,binafs nauchukulia kama ugonjwa,hivyo unaweza kupona,hilo ndilo jaribu lako,usimrudishe kwao,kaa nae chini,muelekeze,mke ndio mtu pekee unaandikiwa kuwa nae mpaka kufa,let you move together...sikupi pole kwa sabab yapo makubwa zaidi ya hayo kwenye ndoa lakin hawachukui maamzi hayo,it's too...
  9. black jeus

    Mbinu gani mnatumia kumsahau mpenzi mlieachana?

    Mbinu pekee ya kumsahau ni kumuoa
  10. black jeus

    Mtoto wangu wa kike anataka kuondoka nyumbani akapange

    Una uhakika unampa kila kitu?baba ana limit ya kumhudumia mwanae wa kike!si kila kitu
Back
Top Bottom