AY & MwanaFa walilipwa na Tigo ,almost billion 3 kwa Tigo kutumia ringtone ya muziki wao,Kama Mwakinyo alivunja mkataba na waliomshitaki wana mawakili wa uhakika watapata hela ya kutosha
Sijaona nyimbo yeyote toka kwenye Album yake alitoa mwaka jana inaitwa Dynastie 1 ya mwaka jana sikiliza hizi nyimbo then urudi utoe tathmini yako again
Nimwasikiliza wote na nimekuja kugundua kuwa wengi wanamfahamu Fally Ipupa kuliko Ferre Gola na sababu kubwa ni Ferre Golla anafanya Traditional Rhumba tofauti na Fally Ipupa ambaye yeye anafanya Modern Rhumba
Manchester United + ETH walitaka kumrudisha Greenwood but kulikuwa na pressure kubwa kuanzia kwa sponsors, wanasiasa,football pundit ,member wa timu ya wanawake na baadhi ya staff wa klabu walitishia kuandamana/kuacha kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.