Bayoteknolojia ni uwanja wa kisayansi unaojihusisha na matumizi ya viumbe hai na mifumo ya kibiolojia katika uzalishaji wa bidhaa na huduma mbalimbali. Teknolojia hii hutumika katika sekta nyingi ikiwemo kilimo, dawa, mazingira, na viwanda. Bayoteknolojia ni muhimu sana kwa maendeleo endelevu...
Tanzania ni nchi ambayo iko uchumi wa kati kutokana na ukuaji sekta mbalimbali za kiuchumi lakini bado ina safari ndefu ya kufikia malengo ya kuwa nchi yenye uchumi imara kama baadhi ya nchi ulaya na Marekani. Hii hutokana na changamoto mbalimbali za kijamii pamoja na kutokuwa na mifumo mizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.