Mwenyewe nimeshangaa, mana ndani ya hio week kama sharp anakuwa kasoma mchezo wote, kiasi anaweza kucopy chap akakulaza na viatu 😂😂 jamaa anataka kuiba idea kirahisi sanaa
Halafu kama naweza tengeneza 1M kwa week siwez kuwa na shida ya mtaji wa 5M,
Sasa mkuu, unataka sisi tufanye kila kitu, ?
Anyway, weka coz za mapishi, ada iwe buku hadi buku 10 kwa mwezi, wadada wengi na bachelors watajiunga,
Weka coz za nguvu za kiume, bei 10-20k kwa mwezi (zungumzia misosi na vyakula)
Weka coz za biashara, bei 5-25k
Coz za computer, bei 50-100k...
Mkuu, hio kawaida, kila eneo na standards zake, usilie kabisa,
Kama huwez hio bei kunywa kinywaji kingine,
Hata soda zina bei elekezi ila tunajua kuna mahali zinauzwa 700 kwingine 2000
Mkuu, una hoja nzuri, ila unaweza andika kwa herufi ndogo tafadhali?
Upande wa hoja na mm nataka viongozi watoke mbele waseme lin itaanza jengwa ? Ni muhimu mjini hapa kuwa na lami tupu
Mabadiliko hayaji mara moja, huanza taratibu na kusambaa,
Ukianza wew na mm kubadilika, na familia zetu, tutawaambukiza na wengine ustaarabu, ndani ya mwaka utakuta utamaduni ni mpya
Hapo tafuta biashara serious ufanye,
Ila kupitia uwekezaji wa bank na hizo acc, tegemea 10% annual return, ukijitahidi sana 15% annual ambayo ni sawa na 1% per month
Mzee, ukipenda ua penda na Boga lake,
Huwez chagua vya kuingizwa nchini mwako, kwa maana unatoa vyote pia,
Focus iwe kuweka uzalishaji wa ndani imara, sio kuzuia vya nje, wew hakikisha dar mayai yapo ya kutosha toka hapo pwani,
Hakuna ataeleta mayai ya Malawi,
Hizi habari za kulindana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.