Kweli kabisa
HISTORIA
Siku Ya Kiza ya Mwezi septemba (Black September), pia inajulikana kama siku ya Vita vya Raia wa Jordan dhidi ya Wakimbizi wa Kipalestina waliokaribishwa Jordan, vita hiyo ya wenyeji dhidi ya wakuja ilikuwa ya silaha na iliyoongozwa na Mfalme Hussein dhidi ya Chama cha...
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi leo amepewa,adhabu ya onyo iliyotolewa na kamati ya maadili na nidhamu
https://m.youtube.com/watch?v=gQKBmG0mSns
Wakili Boniface Mwabukusi amebainisha hayo leo tarehe 17 Mei 2024, kimsingi kamati wamekubaliana ilikuwa ni professional...
Naunga mkono hoja gari hili liwekwe makumbusho ya taifa ili tusirudi leo katika siasa za kigandamizi za 2015 - 2021, ukumbusho huu utasaidia waovu wasirudi tena ktk siasa za Tanzania
Taifa limepoteza mzalendo aliyethubutu kuwa na viwanda wakati wa ujamaa hadi baba wa taifa akakubali kuwa kuna mchango wa watu binafsi ndani ya siasa ya ujamaa na kujitegemea ni kiwanda hiki kilionesha kwa vitendo dhima halisi ya nchi kujitegemea kwa kuamini mtanzania mmoja mmoja anaweza...
MABALOZI PIA WASOMI KUTOKA KENYA, SOUTH AFRICA N.K WANAJADILIANA KATIKA JUKWAA YA DEMOKRASI 2024 ZANZIBAR UZOEFU WA KUUNDA KATIBA MPYA TOKA MAZINGIRA TOFAUTI
https://m.youtube.com/watch?v=VxR5Lbt__cI
Mmoja akiongea katika jukwaa la Tanzania na Demokrasia 2024 mjini Zanzibar, ni mhanga wa...
16 Mei 2024
ASKOFU BAGONZA ATOBOA SIRI ''KUNA KUNDI LINATAMANI BAADHI YA VYAMA VIFUTWE''HUKO NYUMA HAKUENDEKI..
https://m.youtube.com/watch?v=NbSLsVnUDzo
Askofu Dkt. Bagonza atoa hotuba ya karne tunduizi kuchambua hali ya kisiasa iliyopo
Wadau walioshiriki
Jukwaa la Demokrasia Tanzania...
-Je, ni nini nyuma ya ziara ya rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba nchini Urusi? -Ripoti kutoka kwa maabara ya mawazo tunduizu ya "Cuba katika karne 21 (Cuba 21st Century) inasema kwamba hali ya Cuba iko karibu na ile ya Haiti: nchi iliyo nyuma sana katika Ulimwengu wa Magharibi; Pia anachambua jinsi...
Hotuba ya mheshimiwa rais Dr. William S. Ruto wa Jamhuri ya Kenya wakati wa ziara ya kiserikali ya rais Museveni nchini Kenya,
https://m.youtube.com/watch?v=AWHamXN0pLs
Rais William Ruto alisema Kikao cha 2 cha Mkutano wa Pamoja wa Mawaziri(JMC) kilichofanyika kuanzia Mei 12 hadi 14 2024...
16 MAY 2024
Nairobi, Kenya
MASHIRIKIANO BAINA YA NCHI JIRANI KATIKA BIASHARA KUNYANYUA CHUMI ZA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI
Ziara ya kiserikali ya rais Yoweri Kaguta Museveni nchini Kenya
https://m.youtube.com/watch?v=Yd4uxaaJkX0
Baada ya nchi za kiafrika kupata uhuru takribani miaka 60...
CHADEMA ni chama huru kuweka fikra zako mezani zikajadiliwa na kisha kukubaliana kutofautiana muafaka ukakubalika.
Tofauti na chama kongwe dola ambacho hadi fomu ni moja tu inatolewa kwa kuogopa hoja kizani zikajadiliwa na kukubaliana kutofautiana kisha chama kinakaendelea baada ya muafaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.