20 May 2024
Ikungi, Singida
Ukoo pia wanakijiji wameamua baada ya kuligusa gari na yale matundu ya risasi watafanya tambiko la kijadi
https://m.youtube.com/watch?v=w8L0W7rtMX8
Msemaji wa familia ya ukoo na pia kaka wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu, advocate Bw Alute...
Hii ni game ya kikubwa, Iran wamefyata mkia kuona kumbe walikuwa wanacheza michezo ya hatari wanasingizia hali mbaya ya hewa.
Wakubwa wameuchuna kiimya kama siyo wao.
TOKA MAKTABA:
Hutasikia Mossad kitengo cha ujasusi wa nje, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence (MI) au Shin...
Hutasikia Mossad kitengo cha ujasusi wa nje, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence (MI) au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotojea leo katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa katika msafara wa Rais Raisi wa Iran.
Hata wachokozwe vipi si Benjamin...
Hutasikia Mossad, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotojea leo katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa
Hata wachokozwe vipi si Bibi Netanyau wala hizo idara tatu muhimu za usalama Israel zikitia neno. Ni siri...
Modus operandi / Operesheni za Usalama wa Taifa ndani na nje
Spymaster wa intelejensia India anaelezea majasusi makini hawashangilii wanapofanikiwa ktk operasheni bali hunyamaza na kujifanya hawajui lolote hata wakinyooshewa vidole kamwe hawazungumzi wala kujibu kwa neno hata moja pia hata...
Wataalamu wameshafanya yao, haiwezekani ukaishambulia Israel kukaponyoka.
Na kawaida vyombo vyote vikubwa idara ya usalama wa taifa kurugenzi ya ndani na kurugenzi ya mambo ya nje huwa hawakubali wala kukataa kama wao wanahusika.
Nia ni kuwaweka adui katika sintofahamu kwani vyombo hivyo vya...
Mwenyekiti hakubaliani na pessure ya chawa akubali fomu moja, ataka kuonesha demokrasia na ushindani.
Tujikumbushe kuelekea uchaguzi ambapo Nchimbi na wanachama wenzake wa CCM walitoa kutokubaliana na maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM
TOKA MAKTABA :
2015 11 Julai
Mvurugano CCM 2015, KANUNI
Dk...
Kamati kuu ya chama dola kongwe kujadili hali ya kisiasa ilivyo sasa nchini Tanzania na kusoma thathimini ya ripoti nzito ya kitengo cha intelejesia ya siasa iliyopo chini ya Katibu wa NEC na Uhusiano wa Kimataifa ofisi ndogo ya makao makuu CCM mtaa wa Lumumba Dar es Salaam.
Ripoti hiyo...
18 May 2024
Ikungu, Singida
Tanzania
TUNDU LISSU APOKELEWA JIMBONI KWAKE KWA KISHINDO, WATU WAMSUBIRI MPAKA USIKU
https://m.youtube.com/watch?v=jIYP_sl7lt0
Tundu Lissu akisimulia jinsi risasi zilipotoboa gari na kujeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana
TOKA MAKTABA:
Majeraha makubwa na...
Exclusive interview in London with Innocent Yonazi, Head of Investor Relations at NMB Bank PLC and Global Banking And Finance Review
https://m.youtube.com/watch?v=cNg-BlAUZyY
Ajenda:
Kujaribu kuipiku kamati kuu ya CHADEMA inayofuatiliwa sana na wananchi, na ukweli sasa maandamano na madai ya CHADEMA kuhusu katiba mpya, uchaguzi huru wa haki, kilio cha hali ngumu ya maisha ndiyo mambo wananchi wanayo mioyoni mwao huku madai hayo yamebebwa na CHADEMA kuliko chama...
Uungwana ni Vitendo. Kazi kwao TRA, POSTA na TCRA washirikiane kimfumo kuhakiksha zoezi la kusambaza barua kwa njia ya posta hadi katika anuani zote za makazi / majengo
Mfumo wa Anwani za Makazi ni Muhimu Katika Kukuza Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi, Tanzania.
06th Apr, 2022
Mfumo wa...
NMB BANK PLC INTRODUCES THE JAMII SUSTAINABILITY BOND: DRIVING IMPACTFUL INVESTMENT FOR A SUSTAINABLE FUTURE
Posted: 13 May 2024
NMB Bank Plc - Tanzania's leading commercial bank offering financial services to diverse clients ranging from individuals to large corporates.
Today, through its...
Hatifungani
BENKI YA NMB PLC YATAMBULISHA BONDI ENDELEVU YA JAMII : KUELEKEZA UWEKEZAJI WENYE MGUSO KWA AJILI YA KESHO ENDELEVU.
Iliyotumwa: 13 Mei 2024
Shiriki
Benki ya NMB Plc - Benki inayoongoza Tanzania kutoa huduma za kifedha kwa wateja mbalimbali kuanzia watu binafsi hadi makampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.