Recent content by baest

  1. baest

    Wanaotaka kuanza kusoma CPA, karibuni tushauriane

    All the best Madam Soon na ww..umetokea mbali sana..usijilinganishe na mtu.
  2. baest

    Application za mkopo HESLB

    Nimefanikiwa..jaribuni pia kutumia pia browser nyengine...inasaidia
  3. baest

    Application za mkopo HESLB

    Guarantor umefanya lini? Mimi inazunguka tu...
  4. baest

    Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    Nitajaribu..kwa hiyo na NIDA na - niweke
  5. baest

    Application za mkopo HESLB

    Asante, hii stage nimepita..mdhamini ina load..nitajaza tena baada ya mechi..nahisi saiv mtandao wao
  6. baest

    Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    Nimevuka demographic, issue tena mdhamini ..inazunguka tu..picha na NIDA uploaded successfully. Any update or network tu
  7. baest

    Application za mkopo HESLB

    Ukijaza umezaliwa Zanzibar, birth verification number haiitajiki..wanaomba uapload tu cheti kilichohakikiwa na "rita* ya huko..kwa mhuri.. Ila sasa ndio ivyo
  8. baest

    Application za mkopo HESLB

    Mimi demographic nimejaza kila kitu inazunguka tu..sijui nini shida
  9. baest

    Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    Asante mkuu.. Issue dogo kazaliwa unguja na mamlaka ya huko wamekicertify..je still anatakiwa ajaze taarifa rita kupata birt verification number?
  10. baest

    Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    Asante mkuu Ila issue, the system inaload kwenye demographic info.. Hili ni kwa wote?
  11. baest

    Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    Same here..Haileti mkoa na wilaya
  12. baest

    Msaada wa program ya kuchagua UDOM

    Udom dirisha limefungwa au bado?
Back
Top Bottom