Recent content by Avs

  1. A

    Tundu Lissu asiye na Ulinzi risasi 16 kapona, Ebrahim Raisi mwenye Ulinzi kafia porini. Atukuzwe Mungu wa Israel!

    Mungu wa Israel, Mungu wa isaka na Mungu wa Yakobo ndie Mungu apaswaye kuabudiwa duniani kote.
  2. A

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Magufuli hayupo hai lakini bado anatikisa walio hai wengi tu. R. I. P JPM.
  3. A

    Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

    Hakuna watu wanafiki kama wanasiasa.
  4. A

    Kazi ya pesa ya mwanamke ni kufanya nini?

    Kausha damu siku hizi wanakuja kwa style nyingi sana.
  5. A

    Hatimaye Boss kaoa

    Watu wanaoa thamani, huyo huyo unayemdiscribe shit ndio amepata kibali kwa boss. Refer Ester vs malikia vashti.
  6. A

    Hatimaye Boss kaoa

    Na haya ndio moja ya maajabu ya Mungu.
  7. A

    Nimtazamo tu

    Hao wengi ni waganga wa kienyeji wenye kujificha kwenye suti. Agenda yao ni moja tu kuiba,kuchinja na kuangamiza kama afanyavyo Baba yao ibilisi tangu zamani. Hawana kukemea dhambi, toba ya msalaba wala emphasize ya maisha matakatifu kwa uzima wa milele. Watakokota wengi kuzimu, kama watu...
  8. A

    Hakika ndoa kwa sasa ni ngumu mno

    Tatizo la kuingia kwenye taasisi bila kuwa na muasisi ni changamoto kubwa. Ndio sio trial and error scheme.
  9. A

    Natafuta mwenza

    Dah, usifanye hivi mkuu. Huwezi jua dada wa watu alipatwa na nini, ila ujue tu hao unao wadharau (single mother) wanakuwaga wamama bora kabisa kama alivyokuwa my late mom.
  10. A

    Maex muwe mna move on

    Shamba la bibi limekataa kulimwa.
  11. A

    Wazungu walikataza HIRIZI za WAAFRIKA na kuwapa biblia ili kuwadhoofisha

    Katikati ya miungu sijaona Mungu kama wewe, wala matendo mfano wa matendo yako. Mungu yehova ndiye, Mungu juu ya miungu yote.
  12. A

    Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

    Wewe tayari ushakuwa initiated kwenye cult ya huyo mganga jiandae kuwa mbuzi wa kafara. Eti asimchafue dady what a nonsense. Huyo Kuhani Musa ni occultic grandmaster sawa na Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu.
  13. A

    Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

    Huu mstari ndio fimbo yao ya kuchapia maamuma wa kiroho 😂😁😀😀😂😁😀. Huo mstari unajua maana yake, au copy copy?My people are destroyed by the lack of knowledge Hosea 4 '6.
  14. A

    Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

    Ushaungwa kwenye cult, hapo huchomoki tena. Kuna madhabahu sio za kwenda kama una akili sawasawa unless hujui nguvu za hizo vilinge.
Back
Top Bottom