Recent content by August

  1. A

    Bunge la Ukraine laidhinisha mpango wa kusajiliwa wafungwa jeshini

    Papa alimwambia , wajifanya wajanja
  2. A

    Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

    Sawa lakini elewa bila Mama Dunia itasimama na tusijifikirie Sisi wenyewe kwa kuwa tunaye Mama, lazima tuwafikirie na wenzetu
  3. A

    Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

    Watu wataendelea kutumia kuni na mkaa bila yeye
  4. A

    Inadaiwa hasira za Lissu zinatokana na kunyimwa gari na Rais Samia

    Kwa hiyo wa Tz wasio mpigia kura Raisi au kupinga Sera zake itakuwa sababu wamenyimwa Gari au magari Kwa akili zako
  5. A

    Aliyekuwa house girl wa Julius Malema apost picha za mtoto wake

    Facebook https://m.facebook.com › posts › jul... Julius Malema ex-housemaid shows... - African celebrity news 11 Feb 2024 — Julius Malema ex-housemaid shows off her child who looks exactly like him❤ Julius Malema ex-housemaid shows off her child who looks - style you 7.
  6. A

    Tanroads na Mamlaka za Majiji na Mimi wanavyo mzalilisha Makamu WA Raisi

    Sasa mazingira yanapokuwa mabaya ni sifa kwa Makamu wa Makamu wa Raisi anaye simamia Mazingira
  7. A

    Rais Samia amepunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI - Waziri Ummy

    Yaani siku tukimpoteza Mama, Tanzania itakufaa
  8. A

    Musukuma: Serikali iache kufanya Biashara haiwezi, Mwendokasi Walikuwa na Mabasi 300 yamebaki 4 tu. Biashara mtuachie Watoto wa Mjini!

    Mimi naona shida ni serikali yenyewe na sio mamlaka husika, na hizo mamlakaa Husika huundwa na serikali na kuwekwa viongozi wabovu au kutopewa mitaji ili watu Fulani waweze kuweka biashara zao. Na kingine ni mikataba mibovu ambayo nayo huwekwa na Sirikali
  9. A

    Tanroads na Mamlaka za Majiji na Mimi wanavyo mzalilisha Makamu WA Raisi

    https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/a-load-of-inconvenience-as-lorry-operators-hijack-service-roads--4621328 A load of inconvenience as lorry operators hijack service roads May 12, 2024 Sunday, May 12, 2024...
  10. A

    Tanroads na Mamlaka za Majiji na Mimi wanavyo mzalilisha Makamu WA Raisi

    Siku hizi kumezuka Tabia za ma lorry Makubwa Kwa magari kuegeshwa Pembe zoni mwa barabara au kwenye njia za waendao Kwa miguu , hivyo kujaribu mazingira, kwani sehemu hizo sio hazikujengwa kuhimili uzito huo na Kwa madhumuni hayo. Na pia zina kiuka Haki za watumiaji wengine WA sehemu hizo, iwe...
  11. A

    Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!

    Mosi ina msafisha muhusika toka Yale aluofanya ambayo ni hasi kuwa ni chanya. Pili nini uzuri wake kiuchumi tofauti na zile bajeti zisizo na hiyo code.
  12. A

    Anaupiga Mwingi: Wakulima wa Tanzania sasa ruksa kushindana kwenye Soko la Kenya kwa Fair competition!

    Mbona wananunua vitungu Singida, na mchele Malinyi na wanaenda kuuza South Sudan na nchini Kwao. Sasa kipo kilicho badilika
  13. A

    Kapteni Ian Paul Kagame

    Umeisha wahi kuona picha za watoto kukiwa na uhaba wa chakula kule Pembe ya afrika majirani na majirani zetu
  14. A

    Kapteni Ian Paul Kagame

    Utapiamlo
Back
Top Bottom