Recent content by Amicus meus

  1. Amicus meus

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Ishu ni kuvunja muungano na kututeka huto tuvisiwa na kuifanya nchi moja tubaki kuwa mkoa....
  2. Amicus meus

    Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Kuna sehemu Mkoa wa mbeya inaitwa Lupa tingatinga then unaingia ndani ndani huko kunaitwa Nkunungu aisee nliona watoto wa shule ya msingi shati Lina rangi ya udongo hata ufulie jiq haliwezi takata! Umasikini ni mkubwa sana vijijini, Bado watu hutumia mitishamba kwa kiasi kikubwa! Nlikuwa nna...
  3. Amicus meus

    ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

    Mada nzuri sana na fikirishi....Kuna article nliisoma sehem inasema hata Ellon Musk ni allien...kwangu it's just a rumour ila nlitaka kujua zaidi kama Kuna mdau kaweza kuchimba deep hili suala!! Ninasoma
  4. Amicus meus

    Mafuta nchini Algeria ni Tsh 850 tu kwa lita!! SISI tunakwama wapi??

    Achana na mafuta, mbona kwetu Kuna gesi kama Algeria lakini kwetu Bei ya gesi ni juu zaidi mara 4 ya Algeria....!!! Kuna tatizo kubwa sana na hii ngozi nyeusi
  5. Amicus meus

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Leta dodoso mkuu...nipo Lindi hapa nataka nianze kuitafuta rapta....[emoji28]
  6. Amicus meus

    Dark days 17/03/20...

    Jamaa analeta mambo ya kinjekitile Ngwale....imani za hovyo
  7. Amicus meus

    Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

    Wakuu naomba kuuliza namna ya kufungua NGO na requirements zake ni zipi....natanguliza shukrani
  8. Amicus meus

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Utu by Alikiba......
  9. Amicus meus

    Connor McGregor afanya vituko hadharani Rome kwa kuzunguka na walinzi wenye miili mikubwa mmoja akimbebea wine kwenye glass

    Wabongo kwa ujuaji eti unaumia kabisa wakati jamaa ni professional personal bodyguard na amelipwa pesa nyingi kwa kazi hiyo..... Aache kazi utamsaidia wew kulisha familia? Kuna watu weusi wengi tu all over Europe na America wanahudumia ndugu zao Africa jus kwa kufanya kazi za ndani kwa watu...
  10. Amicus meus

    Hivi ndoa za Roman Catholic ukiingia kunakutoka kweli?

    Naomba nimrekebishe muandishi wa andiko moja aliyetangulia kwa kutoa maelezo ya ndoa ya mseto... Katika kanisa katoliki hakuna ndoa ya mseto baina ya mkatoliki na muislam...HAIPO! Ndoa ya mseto ni kwaajili ya madhehebu ya ukristo ambayo imani inashabihiana! Halafu kanisa katoliki lina waamini...
  11. Amicus meus

    Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Kusingekuwa na vitisho kila mtu angeishi kivyake! Kungekuwa n free will na hakuna moto wengine wangemchagua kaka shetani
  12. Amicus meus

    DIAMOND PLATNUMZ kwenye vita

    Umeandika maandishi mengi ila hakuna hoja ya msingi zaidi unataka kutuonesha kuwa Diamond alistahili zaidi kuliko burna boy with no relevance! Onesha ni kiasi gani Diamond kamzidi vigezo Burnaboy na wizkid na sio kuongelea mafanikio ya burnaboy! Mtu anaimba nyimbo za kuhusu jamii na bado...
  13. Amicus meus

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya anakosa gani labda? Kamteka nani? Kamkata mapema nani? Kamdhulumu nani au kanyanganya nini kwa watu?....damu ya nani inamlilia? Jamaa ni anafurahisha tu wala hana madhara....mimi nipo mbeya na sioni shida yake
  14. Amicus meus

    Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Joseph Mbilinyi aahirisha kuhamishia biashara zake South Africa ili kumpa nafasi Rais mpya

    Mkuu Sugu ni level nyingine sio mwenzetu...harakati kazifanya mno hawezi kutafuta attentio this time! Ni ukweli usiopingika biashara nyingi zilikuwa zinahama, watu wanatafuta sehemu salama kwa uwekezaji...sio sehemu mtu anasema matajiri wataishi kama mashetani, sio sehemu watu watakubambikia...
  15. Amicus meus

    Alikuwa binadamu kweli?

    Leta kisa mkuu....tupate dodoso na elimu kidogo
Back
Top Bottom