Bujibuji Shikamoo.
Anyways , Mmoja wa hao jehovah's witness alikuja gonga mlango wangu nikafanya kosa la kumkaribisha ndani na kumuhudumia kahawa.
yaani ikawa kero kila kukicha anakuja nyumbani kwangu. akinikosa asubuhi anakuja jioni.
Kero ikazidi nikamuomba sana asiwe anakuja nyumbani...
kinachohuzunisha ni kwamba watoto wa lio lawitiwa(victims of rape or sexual assault) hawatapata msaada wowote, kama vile canceling, au victims support kutoka kwa ustawi wa jamii.
inasikitisha sana attention yote inaelekea kwa huyu padre (perpetrator).
Hawa watoto ndio watakaoteseka miaka...
Watanzania bado tuna umasikini wa akili.
Kwa hali hii hatutafika mbali. Miaka kumi ijayo bado tutakuwa tunalalamika umeme unakatwa hovyo mara hakuna maji etc etc.
Tuna safari ndefu mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.