Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Nyumba inauzwa ipo kimara Bucha
Ni mita 200 kutoka lami Moro Road
Hii nyumba Ina vyumba 5 na jiko umeme upo na Maji
Ina wapangaji full rooms zote
Bei inauzwa Mln 64
Ina hati ya wizara
Piga 0675...
INASIFA ZIFUATAZO;
Room 3 moja Master, sitting Room, Kitchen,Daining room, Store, public toilet, na jiko, Baraza mbele na nyuma.
Ukubwa wa eneo lake ni sqm 380 tu.
Maji Dawasa tayari...
SHARED DUKA ENTERPRISES PORTAL – Ni Mfumo wa Kisasa wa Mauzo na Manunuzi kwa Biashara za Rejareja na Jumla.
MUHTASARI WA MFUMO:
Mfumo wa Shared Duka Enterprises Portal ni suluhisho la kidijitali...
Habari wakuu,
Natoa huduma za kitaalamu za kutengeneza website kwa biashara, taasisi na miradi mbalimbali. Ikiwa unahitaji website ya haraka, inayovutia na inayofanya kazi vizuri, hii huduma ni...
Nitaongea ukweli bila kupaka sukari.
Mwaka 2026 mteja hakutafuti kwa kuuliza kwa jirani.
Anachofanya ni kuandika Google:
“Hospitali nzuri karibu nami”
“Car dealer Dar es Salaam”
“Law firm...
Ndio sijakosea natoa offa ya kutengeneza website za kisasa kwa gharama ya 200,000 Tu.
Kwa bei hiyo hiyo utapata
website ya kisasa
email rasmi za biashara au kampuni
hosting ya mwaka mzima
domain...
Plot For Rent.
Location: Mikocheni kwa Nyerere/Warioba.
3rd street from Mwai Kibaki road, Ngorongoro road.
It's Residential area.
Size: SQM 1800.
Rental Price: $3000 per month.
Contact us to...
Agiza Nissan Juke mwaka 2011 yenye injini HR15, ukubwa wa CC 1490 na imetembea Km 65,800.
Gari hii ya rangi ya kahawia ina mfumo wa 2 Wheel Drive, nafasi ya abiria 5 na matumizi ya mafuta...
🔥Pata website Hosting ndani ya dakika 1 Tu (Netfasta.Com)🔥
Tunatoa huduma za web hosting na usajiri wa domains kwa gharama nafuu sana na sasa tuna ofa
Kwa Tsh 45,000 tu unajipatia hosting kwa...
Habari wakuu, nauza eneo langu lilipo Kibaha kwa Mathias -Mikongeni .
* Ukubwa ni 25x35
* Hati ya Umiliki- kina hati ya mauziano toka Serikali ya mtaa( hakina mgogoro )
* Bei ni Tsh 7...
Bila shaka tangazo lipo mahala pake, hili ni tangazo kwa members wote wa JF,
Bila kubagua mtu hata nyie wapiga nyeto akina Mbaga Jr uko m.m.u munatangaziwa kuwa tokeni huko kwenye majukwaa yenu...
Habari , Iwapo meno yako yametoboka na unashindwa kutafuna chakula na Kujiamini mbele za watu basi Unaweza pata suluhisho la Kudumu kwa kupata huduma ya kuziba na Kutibia mzizi wa jino bila Kutoa...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Kimbiji, Bohari road, Majipoa area.
Descriptions:
*41km from Kigamboni Ferry, 3km inside from Kimbiji road.
*It's 18.3 acre's which is equal to...
Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri?
Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja.
Tunatoa...
Hii router kwa ni portable unaenda nayo popote
Siku hizi hazipatikani airtel hawazitoi.
Wanatoa zile za kufungiwa ukutani tu.
Hii unapata na powerbank yake na chaja.
Inapaatikana ubungo
Bei 40,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.