UMASKINI NA UVIKO-19 (COVID -19)
Athari za janga hili kwa umaskini hutegemea kwa sababu kadhaa. Kuongeza usawa na kupungua zaidi kwa ukuaji wa uchumi inaweza kusukuma watu zaidi katika...
Andiko langu linaanza kwa kusema Tanzania inaweza kuwa nchi nambari moja duniani katika ujenzi wa ajira nyingi kwa vijana na kila mtu akabaki akijiuliza imekuweje kwa muda mfupi namna hii?. Nchi...
ULAJI BORA NI NINI?
Ulaji bora ni aina ya mlo ambao hutokana na kula chakula chenye mchanganyiko wa angalau chakula kimoja kutoka katika makundi matano ya chakula.
Mfano Ugali, Samaki,Kisanvu...
Ikiwa suala la ajira limeendelea kuwa changamoto kubwa sio tu nchini bali pia nchi jirani, ni wazi kua kujiajiri imekua fursa pekee kwa vijana kujipatia kipato.
kwa bahati nzuri tumejaaliwa vyanzo...
Tangu kuanza kwa huduma za kutuma na kupokea fedha kwa njia za simu za mkononi huduma hizi zimekuwa maarufu sana na kuchangia kurahisisha maisha ya watu hasa wale wa kipato cha chini tangu...
Katika jamii zetu yapo makundi Mbalimbali ambayo yanakumbwa na unyanyasaji, Ubaguzi pamoja na ukatili. Licha ya kuwa wapo watu wengi ambao wankumbwa na hali hiyo ila nitajikita katika makundi...
Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology).
Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na...
Waelewe watu usiwahukumu watu
Binadamu hufanya maamuzi kwa hisia alizonazo kwa wakati huo
Akiongea maneno mazuri au mabaya anafanya hivyo kwa sababu ya hisia zake kwa wakati huo sio kwa sababu...
Watu waliostaarabika kimaadili na mienendo huhifadhi mazingira yao kwa kutambua kuwa kufanya hivyo ndio kuhifadhi maisha yao. maana sahihi ya neno mazingira, ni kila kitu kinachomzunguka mwanadamu...
HAKI ZA BINADAMU
Utangulizi
Mnamo Desemba 10, 1948, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha Azimio la Haki za Binadamu (UDHR), likitangaza haki zisizoweza kutolewa ambazo wanadamu wote...
Katika Taifa lolote lile lililo huru si ajabu kuona majukwaa mbalimbali yakishiriki katika mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuibua hoja nzito...
Habari wana JF
Jamii inategemea uwepo wako ili uweze kuleta mabadiliko chanya, lakini haiwezi kubadilika kama hauto weza kubadili mtazamo wako unao kufanya ushindwe kutambua na kutimiza yale...
Swali kuu litakalotuongoza ni, unapokosa ajira maana yake ni nini?
Tunaangazia jitihada kadhaa wanazoweza kuzitafanya Vijana kutatua tatizo ya kazi badala ya kusubiri ‘mfumo’ uwatafutie majibu...
Salamu wanajukwaa.
Elimu juu ya chanjo, kitaalamu 'vaccine'
MAANA YAKE
Kwa ufupi, hizi ni biomolekuli ambazo hupewa mtu kwa lengo la kuupa mwili kinga ya kupambana na ugonjwa fulani. hivyo basi...
Serikali kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu hutoa mikopo (kwa riba) kila mwaka kwa vijana wanaofaulu ili kuwawezesha kupata elimu ya juu.
Binafsi naona jambo hili si sawa, kwani Elimu Ni moja...
Mara kwa mara kumekuwa na malalamiko makubwa saana kuhusu Mapungufu katika sector ya Afya hasa katika nchi zetu za Afrika {Sana sana katika nchi ziitwazo dunia ya Tatu (3rd world countries) Ambazo...
Mchango wangu in kama ifuatavyo:-
Uchumi na biashara- Serikali itoe elimu kwa wananchi kuhusu biashara na kodi, pia iweke kodi rafiki kwa wafanyabiashara ili watu wengi zaidi kutoka ndani na nje...
Kilimo ni taaluma inayojulikana na pia ni mwajiri mkubwa wa wananchi wengi katika taifa hususani kwenye nchi zinazoendelea mfano; Tanzania. Japokua watu wengi wanaojishughulisha na kilimo Kama...
Naweza onekana mwendawazimu na nisiwe na akili kabisa kwa walio wengi. Lakini kwakuwa hii nafasi imejitokeza acha niandike mambo ambayo yamekuwa yakinisumbua kwa miaka zaidi ya miaka 15 sasa. Hadi...
Tumekuwa tukilalama kuhusu changamoto ya ajira na kazi inayo wakabili vijana ambao ni kundi kubwa kuliko yote Tanzania. Imethibitishwa kuwa wastani wa umri wa Kijana kwa sasa Tanzania ni miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.