Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

I am very excited with the situation in the country (U.S.).You just take tour to this link below and jot something thereafter. Http://securingamerica.com/ccn/node/15631
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma baadhi ya magazeti ya wiki hii wakisema Inter consult ina tafuta mkurugenzi wa Kampuni inayoongoza uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA KADCO Chan kunishangaza zaidi maombi ya pelekwe kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Warioba na sheria zinazobagua watu Mwandishi Wetu Agosti 27, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema matukio ya kifisadi ya hivi karibuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chinese corruption law targets lovers and families of officials Children, spouses and lovers could be jailed for more than seven years as scams reach new levels of sophistication Chinese...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
24.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya sheria za nchi zinazohusika, kila mtu anayo haki ya kumiliki mali, na haki ya hifadhi kwa mali yake aliyonayo kwa mujibu wa sheria. (2) Bila ya kuathiri...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
NImeona hii picha ninayoambatanisha hapa chini, nikajiuliza, ni mamlaka gani na sheria zipi ambazo zinawapa mgambo nguvu kama polisi? Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakimpeleka Kituo Kidogo cha...
0 Reactions
6 Replies
19K Views
Baada ya kusoma hukumu ya majaji wa mahakama ya rufaa katika kesi ya S.M.Z. vs. Machano Khamis Ali & Others (Criminal Application No. 8 of 2000) [2000] TZCA 1 (21 November 2000) IN THE COURT OF...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Date::7/12/2008 Wabunge chanzo cha sheria mbovu za madini Na Daniel Mwaijega Mwananchi MOJA ya hoja zilizopewa uzito katika mijadala ya bunge wiki hii, ni ile ya nishati na madini, ambako...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANZANIA: Agreement signed with US to combat financial crimes DAR ES SALAAM, 27 August 2002 (IRIN) - The US government and Tanzania have signed an agreement on technical assistance for capacity...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ikiwezekana zikombwe ziwekwe sehemu hapa hapa kesho zisije kupotea bure. Constitutional Law Constitution of the United Republic of Tanzania Constitution of the United Republic of Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa mtazamo wangu, sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu na siyo kosa lililotendeka. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu sheria za Tanzania zinatekelezwa kwa kufuata 'social status' ya mtu. Mfano, mwananchi wa kawaida akituhumiwa kuwa ametenda kosa fulani la jinai atawekwa chini ya ulinzi na polisi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, heshima mbele.... Nimesoma kwenye Thisday la leo kuna picha ya mwanamama amekamatwa (ameshutumiwa) kufanya "shoplifting" pale Imamalaseko. Binafsi nakiri kuwa adhabu aliyopewa ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Beijing-China, The former Ruling Comumnist Party boss of Shanghai, who was also a member of Central Committe, the most powerful ruling body in China, Chen Liangyu, was yesterday sentenced to 18...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
huu ni ujumbe au mchango wangu kwa Sirikali Naomba waziri na Serekali ya Tanzania waelewe , sio kwamba watu wanapinga huo mswada, bali timining yake ndio mbaya, kwa sababu wameua shirika la...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Ndimara Tegambwage Polisi, vitisho na Stella wa Msewe SITAKI polisi wa Tanzania wasahau kwamba ni kwa matendo yao au kwa kutotenda kwao, wanaweza kuhatarisha usalama wa raia na mali zao. Na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna mwanabodi anaweza kunipa msaada kwa kunipostia pdf ya revised edition ya 2002 ya sheria za bongo?? hasa principle legislation ikibidi subsidiary. tafadhali please
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima wakuu..... Nimesoma leo na baada ya kufuatilia ule mkutano wa wahandisi kuel Arusha, nimefurahishwa sana na kufunguka kwa mawazo ya watendaji wetu wa "Road Sector" hapa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inawezekana vipi ziwepo taasisi zingine zinaonekana au zinajiona kuwa bora na haki zaidi ya zingine? Iweje JWTZ watumie maji na washindwe kulipa wakati hata kwenye bajeti zao malipo hayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Are our leaders above the law? BBC News Online Nigerian president Umaru Yar'Adua revealed at the World Economic Forum that he supports the removal of the immunity clause from his country's...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom