Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii CPWAA ameaga dunia mapema alfajiri ya leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa msanii huyo ni kwamba marehemu aliukuwa anaugua...
43 Reactions
481 Replies
61K Views
Wakati muziki wa rhumba / soukous Congo unapitia mabadiliko mengi ya vionjo, moja ya vitu vilivyonogesha ni kionjo cha kurap ambacho kiliongezwa haswa wakati nyimbo ilipokuwa inakaribia kuisha...
4 Reactions
20 Replies
974 Views
Habari ya kwanza niliyokutana nayo leo kwenye mitandao ya kijamii inahusu kifo cha mwanadada Mwimbaji Bulelwa Makutukana ( Zahara) kilicho tokea jana huko Johanesburg baada ya kuugua ini kwa muda...
20 Reactions
153 Replies
18K Views
Nadhani Mwaka 2023 ndio tumeshuhudia vifo vya watu wengi mashuhuri. Iwe kwenye michezo, siasa na Sasa kwenye anga ya biashara. Ambapo siku ya Jana kulitokea kifo Cha mfanyabiashara mashuhuri...
7 Reactions
99 Replies
5K Views
Wale wapenzi wa sinema ya john wick kama mlipata kumtazama mhudumu wa hotel inayohudumia kikundi cha siri cha mauaji na chama kikubwa. Bwana Lance Reddick alitumia part yake kuanzia filamu ya...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Mkurugenzi maarufu wa filamu nchini Iran pamoja na mke wake wameuawa wakiwa nyumbani kwao nje kidogo ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Tehran. Taarifa kutokea kwenye vyombo vya habari vya nchini Iran...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari Wana JF. Jana taifa la Nigeria na wapenzi wa muziki (Afrobeats) tuliingiwa na simanzi baada ya kupata taarifa Za kifo cha mwanamuziki kutoka Nigeria Mohbad (27). Chanzo cha kifo bado...
6 Reactions
62 Replies
8K Views
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Salutaba Mwakimwagile maarufu kama Salu T amefariki dunia jijini Mbeya leo tarehe 15 Aprili 2023. Msanii huyo amefariki akiwa anaendelea kupewa matibabu katika...
14 Reactions
106 Replies
10K Views
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha. Hivi karibuni Wasanii na Wadau...
25 Reactions
284 Replies
35K Views
Moja kati ya Ma-DJ ambao waliowahi kufanya vizuri katika muziki wa Bongo Flava hapa nchini akifanya kazi Clouds FM Radio, Steve Mdoe a.k.a "DJ Steve B" "DJ Skills" amefariki dunia jioni ya leo...
31 Reactions
213 Replies
24K Views
The WWE universe has been thrown into a state of mourning following the demise of one of her sterling superstar and former World Champion, Bray Wyatt who passed on in the late hours of Thursday...
1 Reactions
98 Replies
7K Views
Umuofia kwenu wana JF, Msanii wa Bongo fleva aliyetikisa kanda ya Ziwa G RICO amefariki dunia leo ,G Rico alitamba na nyimbo kama Pole ya moyo, kesho etc. Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Socialite kutoka pande za Zimbabwe, ambaye pia ni mfanyabiashara tajiri, Ginimbi, amepata ajali mbaya Siku ya leo na kufariki dunia hapo hapo. Mfanyabiashara huyo pia alikuwa Karibu na Zari the...
17 Reactions
295 Replies
52K Views
Ahuofe 🇬🇭 Aliyejipatia Umaarufu Mitandaoni (Tiktok & IG) Kama Tupac Wa Ghana Amefariki Dunia Jana Jumatano Machi 29, 2023 Huko Kumasi Nchini Ghana. Taarifa Za Kifo Chake Zimethibitisha Na Rapa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyota huyo mkongwe wa Muziki wa Rock’n’Roll amefariki akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa familia, Turner alianza kuwa na hali mbaya ya Kiafya baada ya...
15 Reactions
68 Replies
7K Views
Msanii Juma Kilowoko (SAJUKI) amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala, Rajabu Amiri hivi karibuni...
8 Reactions
325 Replies
49K Views
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
17 Reactions
381 Replies
39K Views
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo. Atakumbukwa kwa vibao...
18 Reactions
473 Replies
104K Views
Arrayah Barrett, binti mwenye umri wa miaka 2 wa mlinda mstari wa Tampa Bay Buccaneers Shaquil Barrett, alikufa maji Jumapili asubuhi kwenye kidimbwi cha kuogelea cha familia hiyo, kulingana na...
1 Reactions
12 Replies
963 Views
Habari. Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool. RIP little Young. Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi...
9 Reactions
319 Replies
22K Views
Back
Top Bottom