Nataka kuwah msimu wa mchele mashambani hivi ni mwezi wa ngapi mavuno yanachanganya na mchele mashambani hupatikana kwa bei rahisi

aBuwash

Senior Member
Dec 26, 2023
131
251
Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar

Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.

Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi

Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin

Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii

Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
 
Habarii natak mwaka huu niingie mwenyewe chaka kwenda kufunga mzigo wa mchele na kuja nao hapa dar

Naombeni muongozo wenu fremu ninayo mombasa ipo sehem yeny mzunguko mkubwa wa watu pia ni karib na lami ko wateja sina ila kutokana na location naamin sitahangaika sana kutafuta wateja wa kuanza nao.

Pili hii biashara ndo mala yang ya kwanz ko naomba kujua mkoa upi na chaka lipi linatoa mchele safi

Na jinsi gani naweza kugundua mchele safi yan kiufupi vitu vya kuzingatia unaponunua mchele huko vijijin

Pia kingine faida mfano nikichuka tani mbili faida inaweza kurange vp nikija kuuza na itachukua mda ganii

Wana jf naombeni msaada wenu sana lengo ni kujikomboa na umaskini
Tabora.

Nitafute au nipe mawasiliano yako PM nikuunganishe sehemu utakayokuja kupata mchele mzuri easily and accessible
 
Ubora wa barabara huko MPANDA sasa ivi mpunga na mchele ni bei sana tofauti na zamani kipindi cha barabara mbovu.
Nenda sengerema kijiji cha BUKOKWA utanikumbuka gunia la mpunga hadi elfu 30 .
 
Back
Top Bottom