Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 369
- 644
Endeleeni kujipa moyo ni mind game..
Mind games za timu za Africa hizo, Al Ahly ndo kiongozi wao, hao Mamelod nao walikua na propaganda kama hizo za fulani hachezi mara anacheza.Toka Mamelodi ilipotangazwa kucheza na Yanga, uongozi wa Yanga ulishaanza kujenga mazingira ya jinsi ya kujitetea na zahma iliyo mbele yao. Mapema sana viongozi na mashabiki walishaanza kuchanganyikiwa.
Walitaka wachezaji wao wasiitwe timu ya taifa wakati huo huo wakalalamika saaana kwa nini Dickson Job hajaitwa, hiyo ni dalili ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye majeruhi ya Pacome mara ishu ikabuma kwa kuitwa na kwenda timu ya taifa, eti anaenda kuangaliwa na madaktari wa timu ya taifa, dalili nyingine ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye vitisho vizito dhidi ya watakaovaa jezi za Mamelodi, baada ya kelele nyingi na barua nzito kutoka CAF, wakanywea.
Sasa hivi wanasema kina Diarra hawajarudi mpaka sasa na wale ambao walisema wameshapona wanadai wanaweza kuwakosa. Dalili za watu waliochanganyikiwa. Hizi taarifa ndiyo kabisa zitafanya mashabiki wao hata wale wa bure wasije uwanjani.
Hii mechi Yanga ingekaza bila kucheza hizi mind games ingeweza kutoboa. Tatizo imefanya mambo yamekuwa mengi.
Kazi ya kocha ni kusimamia kila kitu shida yenu mnataka kuficha vitu ambavyo vinatakiwa viwe wazi yeye ni kocha anatakiwa kupanga Timu na mfumo kwa Wachezaji wote sio wengine hawapo baadae Timu ikifungwa atalaumiwa yeye ndio maana ya hizi Conference mazee...kwa hiyo aseme mambo yapo sawa huku viongozi wameshindwa kuwasafirisha wakina Key kwa siku tatu...Kocha ana utoto sana hayo sio maneno ya kuongea kwenye press kubwa kama hiyo..
Yanga inaonekana kituko na uongozi was yanga unaonekana ni mbovu kuwai kutokea
Baada ya game ntakurudiaToka Mamelodi ilipotangazwa kucheza na Yanga, uongozi wa Yanga ulishaanza kujenga mazingira ya jinsi ya kujitetea na zahma iliyo mbele yao. Mapema sana viongozi na mashabiki walishaanza kuchanganyikiwa.
Walitaka wachezaji wao wasiitwe timu ya taifa wakati huo huo wakalalamika saaana kwa nini Dickson Job hajaitwa, hiyo ni dalili ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye majeruhi ya Pacome mara ishu ikabuma kwa kuitwa na kwenda timu ya taifa, eti anaenda kuangaliwa na madaktari wa timu ya taifa, dalili nyingine ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye vitisho vizito dhidi ya watakaovaa jezi za Mamelodi, baada ya kelele nyingi na barua nzito kutoka CAF, wakanywea.
Sasa hivi wanasema kina Diarra hawajarudi mpaka sasa na wale ambao walisema wameshapona wanadai wanaweza kuwakosa. Dalili za watu waliochanganyikiwa. Hizi taarifa ndiyo kabisa zitafanya mashabiki wao hata wale wa bure wasije uwanjani.
Hii mechi Yanga ingekaza bila kucheza hizi mind games ingeweza kutoboa. Tatizo imefanya mambo yamekuwa mengi.
Mind gamesStephen Aziz Ki na Djigui Diarra bado sijawaona kambini na walipaswa kuwa wamerejea kutoka kwenye majukumu yao ya timu zao za taifa”
- Kocha Miguel Gamondi, Yanga Afrika.
Yapi maoni yako??
Na mimi ningekuwa mwoga nisingesema hayo hadi baada ya game lakini ukweli ni ukweliBaada ya game ntakurudia
Wapo Metacha na Gwede watachukua mikoba.Kupitia mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kesho Kati ya Yanga na mamelodi...
Kwa hio wewe unamzidi Gamond professionalism?Kocha ana utoto sana hayo sio maneno ya kuongea kwenye press kubwa kama hiyo..
Yanga inaonekana kituko na uongozi was yanga unaonekana ni mbovu kuwai kutokea
Mambo ya Yanga yanakuwasha sana wewe bintiToka Mamelodi ilipotangazwa kucheza na Yanga, uongozi wa Yanga ulishaanza kujenga mazingira ya jinsi ya kujitetea na zahma iliyo mbele yao. Mapema sana viongozi na mashabiki walishaanza kuchanganyikiwa.
Walitaka wachezaji wao wasiitwe timu ya taifa wakati huo huo wakalalamika saaana kwa nini Dickson Job hajaitwa, hiyo ni dalili ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye majeruhi ya Pacome mara ishu ikabuma kwa kuitwa na kwenda timu ya taifa, eti anaenda kuangaliwa na madaktari wa timu ya taifa, dalili nyingine ya watu waliochanganyikiwa. Wakaja kwenye vitisho vizito dhidi ya watakaovaa jezi za Mamelodi, baada ya kelele nyingi na barua nzito kutoka CAF, wakanywea.
Sasa hivi wanasema kina Diarra hawajarudi mpaka sasa na wale ambao walisema wameshapona wanadai wanaweza kuwakosa. Dalili za watu waliochanganyikiwa. Hizi taarifa ndiyo kabisa zitafanya mashabiki wao hata wale wa bure wasije uwanjani.
Hii mechi Yanga ingekaza bila kucheza hizi mind games ingeweza kutoboa. Tatizo imefanya mambo yamekuwa mengi.
Nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. Toka lini timu inasafirisha mchezaji aliyekuwa anaitumikia timu ya Taifa lake? Hapo Viongozi wa Yanga wamekoseaje na wamechelewaje kuwasafirisha wachezaji waliokuwepo national teams?Kazi ya kocha ni kusimamia kila kitu shida yenu mnataka kuficha vitu ambavyo vinatakiwa viwe wazi yeye ni kocha anatakiwa kupanga Timu na mfumo kwa Wachezaji wote sio wengine hawapo baadae Timu ikifungwa atalaumiwa yeye ndio maana ya hizi Conference mazee...kwa hiyo aseme mambo yapo sawa huku viongozi wameshindwa kuwasafirisha wakina Key kwa siku tatu...
labda ni mbinu za kivita, kupoteza adui ramani. ila kama kweli basi magoli mengi sana yanga watafungwa.Hata me hii habari imenichanganya sana.View attachment 2948077
Umasikini ni mbaya sana yaani unataka tujadili 800 usd mbona Mamelodi ndio imewatumia tiketi wachezaji wake ingawaje ni swala la SAFA usiwe unajifanya unajua kitu wakati unaamua kwa kutumia umasikini wako hao wachezaji kila wakienda huko inakua mvutano kuja kisa nauli yenyewe chenji tu hiyo...Nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. Toka lini timu inasafirisha mchezaji aliyekuwa anaitumikia timu ya Taifa lake? Hapo Viongozi wa Yanga wamekoseaje na wamechelewaje kuwasafirisha wachezaji waliokuwepo national teams?
Onana alisafirishwa na Man U kwenda Ivory Coast kucheza timu ya taifaNawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. Toka lini timu inasafirisha mchezaji aliyekuwa anaitumikia timu ya Taifa lake? Hapo Viongozi wa Yanga wamekoseaje na wamechelewaje kuwasafirisha wachezaji waliokuwepo national teams?
Dogo bwana, ebu ficha utupu wa hilo fuvu lako. Huo sio wajibu wa club kusafirisha wachezaji wa timu za taifa. National team kupitia vyama vyao vya soka ndio vunawajibu wa kuwaandalia ticket za go and return. Pumbavu kabisa.Umasikini ni mbaya sana yaani unataka tujadili 800 usd mbona Mamelodi ndio imewatumia tiketi wachezaji wake ingawaje ni swala la SAFA usiwe unajifanya unajua kitu wakati unaamua kwa kutumia umasikini wako hao wachezaji kila wakienda huko inakua mvutano kuja kisa nauli yenyewe chenji tu hiyo...