KERO Threads

A
Anonymous
Baadhi ya Wanafunzi zaidi ya 150 hadi 180 hadi leo hawajapatiwa fedha zao za ‘boom’ la Kwanza (Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), walicheleweshewa boom mpaka ikafika wakati wa...
0 Reactions
1 Replies
429 Views
Jimboni kwa Mbunge Ulega hali ya barabara sio nzuri, wasaidie wakazi badala ya kutumia nguvu na pesa nyingi kuchonga.
0 Reactions
0 Replies
15 Views
A
Anonymous
Nimempeleka mke wangu Kwa ajili ya kujifungua katika kutuo cha AFYA cha serikali Ulyankulu. Na ikahitajika kufanyiwa upasuaji ila cha ajabu gharama nilizopewa nilishangaa sana. Huduma ilisuasua...
1 Reactions
5 Replies
230 Views
A
Asante sana JF kwa kutupa Wananchi platform kama hii za kueleza kero, dukuduku na mengine yote ambayo inaweza kuwa ngumu kuyafikisha kwenye mamlaka mbalimbali za binafsi na Serikali hasa kwa sisi...
4 Reactions
8 Replies
378 Views
Kuna wadada wapo kituo cha Azam Kilimanjaro pale Ferry ya kwenda Zanzibar wanakupokea na kukuambia tunakukatia ticket hivyo naomba kitambilisho chako. Ukiwapa, wanakusajilia line ya AzamPesa, ni...
1 Reactions
0 Replies
27 Views
A
Barabara ya External kwenda Majichumvi eneo la Migombani (Majichumvi) inayopita OBAMA BAR kuanzia Ofisi ya Serikali ya Mtaa Mianzini kutokezea njia Panda ya Bonyokwa na Segerea inatutesa sana...
0 Reactions
2 Replies
131 Views
A
Hii imekuwa kero kubwa hasa katika kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba ambapo jirani na kituo hicho Kuna Kanisa ambalo mara nyingi zinapigwa Ngoma hali inayosababisha usumbufu kwa...
0 Reactions
16 Replies
337 Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri. Kazi iendelee. Mama Samia, wakazi na wapiga kura wako wa Goba njia ya Tegeta A kwenda kutokea Madawa na njia Tegeta A kuelekea Kulangwa kupitia makanisa ya...
0 Reactions
50 Replies
1K Views
NEMC na taasisi zingine za uthibiti, eneo la Mchicha Vingunguti kuna hewa kali sana ambayo ukipita lazima ushindwe kupumua na kupata kikohozi kikali. Watu wanasema sulphur inayotoka viwandani...
0 Reactions
8 Replies
117 Views
Kumewekuwepo na upotevu mkubwa wa maji hasa katika sehemu tajwa hapo juu. Hii ni kutokana na miundombinu mibovu hasa ya maji. Ukitembea hatua chache uanakuta barabara zimejaa maji na maji hayo...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Hawa NBC BANK watakuja kuua watu kwa Pressure. Jana nmeenda ATM kutoa pesa natoa pesa haitok kuangalia salio naambiwa nina negative 652,520,7644. Kumbe miitandao imesheki. Afu eti imagine kwa...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Mvua za Disemba mwaka 2023 zilikata mawasiliano ya mitaa katika eneo la Goba Kulangwa jijini Dar es Salaam. Cha kushangaza mwenyekiti wa Mtaa na na uongozi mzima wa mtaa unatambua hali hiyo...
2 Reactions
5 Replies
333 Views
A
Tarehe 6 na 7 mwezi huu wa tano kulikuwa na mitihani ya mock Wilaya. Wilaya ya Mvomero watoto walichangishwa 'rim papers 10' kwa kila mtihani kwenye uhalisia wa matumizi, ni mtihani moja tu wa...
2 Reactions
10 Replies
287 Views
Arusha ni jiji muhimu sana kiuchumi ukizingatia kuwa linaongoza kwa kupokea wageni hasa watalii. Askari hawa wa usalama wanasababisha kero nyingi kama ifuatavyo; 1. Wamejazwa kila barabara ya...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Serikali/mamlaka husika ijaribu kufuatilia na kuchunguza uongozi wa chuo cha maendeleo ya wananchi same -kilimanjaro (FDC), hadi sasa baadhi ya wanafunzi waliowahi kumaliza chuoni hapo...
0 Reactions
1 Replies
76 Views
A
Mimi ni mdau kutoka mkoa wa Songwe, halmashauri ya mji wa Tunduma, kata ya Mpemba tunaomba serikali itatue changamoto ya magari yanayotoka stendi kuu ya Tunduma kutia mgomo tangu asubuhi ya Leo...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
A
Ustadhi wa Madrasa mwenye umri wa miaka 70 anayeishi hapa mtaani kwetu, ana tuhuma za kumbaka binti wa Miaka 16 mara kadhaa hadi kumsababishia hasara, kinachouma zaidi ni kwa kuwa mtuhumiwa ni...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
A
Anonymous
Huduma ya Majisafi Manispaa ya Morogoro ni kitendawili kilichoshindikana kuteguliwa, mara nyingi maji yanatoka yakiwa machafu Huduma ya Majisafi katika Manispaa ya Morogoro chini ya Mamlaka ya...
0 Reactions
5 Replies
402 Views
A
Anonymous (ae48)
Wakazi wa Mbutu Kigamboni tuna changamoto kubwa ya Barabara, mamlaka ziko wapi?
0 Reactions
4 Replies
376 Views
Kuna changamoto kubwa ya barabara inayotoka Mlalo mpaka Lushoto hususani katika kipindi hiki cha mvua barabara zina mashimo makubwa nyingine hazipitiki kabisa kwa sababu ya matope ni wiki ya pili...
1 Reactions
2 Replies
130 Views
Back
Top Bottom