Ibn Algherey
New Member
- Nov 29, 2023
- 2
- 1
Kuna changamoto kubwa ya barabara inayotoka Mlalo mpaka Lushoto hususani katika kipindi hiki cha mvua barabara zina mashimo makubwa nyingine hazipitiki kabisa kwa sababu ya matope ni wiki ya pili sasa, hili tatizo linasababisha nauli kupanda na wananchi kuto mudu hizo gharama, nauli mwanzo ili kuwa 6000 sasa hivi 10000 mpaka 12000
Barabara hiyo pia anatumia mbunge wa jimbo la Mlalo ambae inasemekana pia ni mwenyekiti wa tanroad mkoa lakini jitihada zimekuwa ni ndogo sana za kutatua hii changamoto
Barabara hiyo pia anatumia mbunge wa jimbo la Mlalo ambae inasemekana pia ni mwenyekiti wa tanroad mkoa lakini jitihada zimekuwa ni ndogo sana za kutatua hii changamoto