Uzi maalum wa kujadili uwezo wa viongozi Tanzania

Je Ungependa kuwe na Mfumo wazi wa umma wa kupima utendaji na uwajibikaji wa viongozi na watumishi?


  • Total voters
    16

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,043
3,932
Leo siweki Maneno Mengi.Nawaletea tu Skeli ya Kupima IQ ya Viongozi wetu.Skeli itakuwa Vipimo Vitano ambavyo ni hivi hapa Chini:

  1. Anaelewa Nafasi na Wajibu wake na anaitumia nafasi yake vizuri kutimiza wajibu
  2. Anaelewa Nafasi na Wajibu wake lakini Hatumii nafasi yake kutimiza wajibu wake
  3. Haelewi nafasi na Wajibu wake lakini anatumia nafasi yake kutimiza wajibu wake
  4. Haelewi nafasi na wajibu wake wala hatumii nafasi yake kutimiza wajibu wake
  5. Hana sifa kabisa za kuwa Kiongozi/Mtumishi
Sa Tunaitumiaje hii skeli katikakuwarate Viongozi wetu?
Kwa Mfano kama ni Rais wa Nchi Unaandika tu Rais /Jina lake Samia Suluhu Hassan ana IQ ya 1-Anaelewa nafasi na Wajibu wake na anaitumia nafasi yake vizuri kutimiza wajibu wake.

Kisha chini yake eleza Sababu.Viongozi wa upinzani na wanaharakati wanahusika PIA katika upimwaji huu

Tumia skeli hii sio tu kwa ajili ya viongozi wakubwa bali unaweza kuitumia dhidi ya Mwenyekiti wa Mtaa wako, Diwani, Mkuu wa kitengo fulani, Mkuu wa Polisi, Mbunge, Mkurugenzi wa Halmashauri, Waziri, au mtumishi yeyote anayelipwa kwa kodi za wananchi.

Zingatia Kipengele cha sababu.

Kuna wazalendo watapita huku na kuchukua taarifa na kuzifanyia Kazi.

Kila la heri
 
Madaktari wa kisiwa fulani wamefanikiwa kufanya upasuaji na kuweka nazi sehemu ya kichwa, leo aliyewekewa nazi ni kiongozi wa ngazi za juu.
 
angalia tu average IQ ya tanzania utapata majibu yote, IQ (wastani) tanzagiza ni~80 vs rest of the world 90, hivyo hiyo inakwambia kila kitu, think about this kuna mji india unaitwa jaipur una watu kama milioni 3, mji wa Jaipur uchumi wake unajengwa na kwa kiasi kikubwa na Tanzanite kutoka tanzagiza, tanzanite ilipopigwa stop kuwa exported wananchi jaipur waliandamana kupinga, raisi wa tanzagiza kaalikwa india kapewa red carpet na udokta juu kasaini mikataba ya mabilioni pmj na kutenga 1000 acres of tanzagiza’s land for india …
 
Mbowe alipata division four kidato Cha nne, akawa mpiga disko pamoja na wahuni wengine ambao walikuwa marafiki zake
 
Hizo nguvu za kuwaza hayo unazitoa wapi? Hata awe na IQ ya januari bado atapewa kazi.

IQ ya huyu wa vpn nayo utaichambua? kupoteza tu nguvu
 
Leo siweki Maneno Mengi.Nawaletea tu Skeli ya Kupima IQ ya Viongozi wetu.Skeli itakuwa Vipimo Vitano ambavyo ni hivi hapa Chini:

  1. Anaelewa Nafasi na Wajibu wake na anaitumia nafasi yake vizuri kutimiza wajibu
  2. Anaelewa Nafasi na Wajibu wake lakini Hatumii nafasi yake kutimiza wajibu wake
  3. Haelewi nafasi na Wajibu wake lakini anatumia nafasi yake kutimiza wajibu wake
  4. Haelewi nafasi na wajibu wake wala hatumii nafasi yake kutimiza wajibu wake
  5. Hana sifa kabisa za kuwa Kiongozi/Mtumishi
Sa Tunaitumiaje hii skeli katikakuwarate Viongozi wetu?
Kwa Mfano kama ni Rais wa Nchi Unaandika tu Rais /Jina lake Samia Suluhu Hassan ana IQ ya 1-Anaelewa nafasi na Wajibu wake na anaitumia nafasi yake vizuri kutimiza wajibu wake. Kisha chini yake eleza Sababu.Viongozi wa upinzani na wanaharakati wanahusika PIA katika upimwaji huu

Tumia skeli hii sio tu kwa ajili ya viongozi wakubwa bali unaweza kuitumia dhidi ya Mwenyekiti wa Mtaa wako,Diwani,Mkuu wa kitengo fulani,Mkuu wa Polisi,Mbunge,Mkurugenzi wa Halmashauri,Waziri,Au mtumishi yeyote anayelipwa kwa kodi za wananchi.Zingatia Kipengele cha sababu.

Kuna wazalendo watapita huku na kuchukua taarifa na kuzifanyia Kazi.

Kila la heri
mi nadhani tungeanza kupima na kujadili iq yako ambayo mi nina mashaka nayo kwa sehemu kubwa sana kabla sijaanza kuwadadavua viongozi
 
Nape
Makamba
Mwigulu
Jerry slaa
Katambi
Aweso
Mavunde
Naibu waziri mkuu
Mhagama
Kairuki
Bashungwa
Jafo

Kwa uchache hiyo ni mizigo kwa Taifa
 
angalia tu average IQ ya tanzania utapata majibu yote, IQ (wastani) tanzagiza ni~80 vs rest of the world 90, hivyo hiyo inakwambia kila kitu, think about this kuna mji india unaitwa jaipur una watu kama milioni 3, mji wa Jaipur uchumi wake unategemea Tanzanite kutoka tanzagiza, tanzanite ilipopigwa stop kuwa exported wananchi jaipur waliandamana kupinga, raisi wa tanzagiza kaalikwa india kapewa red carpet na udokta juu kasaini mikataba ya mabilioni pmj na kutenga 1000 acres of tanzagiza’s land for india …
Hatari sana

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe alipata division four kidato Cha nne, akawa mpiga disko pamoja na wahuni wengine ambao walikuwa marafiki zake
aliyoyafanya Mbowe wewe hutakaa uyafikie milele pamoja na ka degree kako ka cbe :D
 
Back
Top Bottom