ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,205
- 9,711
Kuna likizo moja waifu alikua anaenda kwao akabeba watoto wote nikabaki mm tu nyumba inaniangalia .Siku ya kwanza nikajisikia ka uhuru furani sisikii kelele za madogo nikaona haya ndo maisha nimepiga wiki moja tu yakanishinda maana nilikua nimewamiss wanangu na wife hatari nikagundua uwepo wao ni faraja kubwa sana kwangu👋🏽