Taja faida za kuishi peke yako

Kunywa chai au maji kwenye jagi, kuoga siku ukijisikia, kulala muda wowote ule utakaojisikia. Kwa kifupi unaishi ule uhalisia wako. Ukiwa kwenye relation utakuwa mnafiki mnafiki kujifanya mstaarabu ili kuji adjust accordingly na matakwa ya mpenzi wako. HASARA. Watu watakuona umepoteza mwelekeo wa maisha. Nawasilisha
 
1.Nalala nnavopenda
2.Nakula nikiamua
3.Nikitoka hata nikilala huko huko hakuna anaeniuliza ulikuwa wapi.
sijawahi kuona faida ya kuishi mwenyewe..... ubinafsi uoga wa maisha na kutokua mwanaume kamili kunawaponza sana vijana wenzetu ukiangalia sababu nyingi ni uoga na ubinafsi alafu swala la uhuru ni jambo pana sana...
huwezi niambia nilale mwenyewe kama panga au nikae dinning mwenyewe kama mjusi Kisa uhuru sjui kunyetuka..... tukumbuke kama mwanaume ww ndio Mkurugenzi wa maisha yako unalotaka liwe litakua usikurupuke tu ukaona maisha machungu.....


Nafikiri furaha nipatayo na wanangu eti nianze kukaa mwenyewe alooo siwezi......
Ni kwamba wewe unavyopata furaha ukikaa na wanao,haimaanishi na mtu mwingine itakuwa hivyo hivyo.Kila mtu ana vipaombele vyake ambavyo vinampa furaha na utulivu,kama wewe umegundua watoto wako wanakupa furaha,Hongera ,wengine watoto siyo kipaumbele chao,na ndio Kuna singo maza kibao huko mtaani.
 
Jibu la hekima sana hili.
1.Nalala nnavopenda
2.Nakula nikiamua
3.Nikitoka hata nikilala huko huko hakuna anaeniuliza ulikuwa wapi.

Ni kwamba wewe unavyopata furaha ukikaa na wanao,haimaanishi na mtu mwingine itakuwa hivyo hivyo.Kila mtu ana vipaombele vyake ambavyo vinampa furaha na utulivu,kama wewe umegundua watoto wako wanakupa furaha,Hongera ,wengine watoto siyo kipaumbele chao,na ndio Kuna singo maza kibao huko mtaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom