Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,969
- 221,467
Kwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na CHADEMA, leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu, ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania.
Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF
==========
Awali Mwamba kabisa akiwasili Mjini Bariadi
Chuma Chikolii Moto
Bariadi Moja hiyo , kimenuka rasmi
Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF
==========
Awali Mwamba kabisa akiwasili Mjini Bariadi
Chuma Chikolii Moto
Bariadi Moja hiyo , kimenuka rasmi