Umeme sio nyanya za tandale,Hivi kwenye mambo ya nishati huku demand and supply haihusiana kwenye kuleta bei?
Umeme sio nyanya za tandale,Hivi kwenye mambo ya nishati huku demand and supply haihusiana kwenye kuleta bei?
Hujatoa maelezoUmeme sio nyanya za tandale,
Ingekua January kasema haya kama naona ambavyo angeitwa mhujumu uchumi na mpiga dili!! Ila kwa Biteko watu kimyaaaaa.Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.
Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.
Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.
PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia
- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Bei ipo juu kwa sababu ya umeme wa gesi asilia iko juu. Hao wawauzie south africa huo. Sisi tubaki na huu wa mabwawa ambao ni zaidi pia ya mahitaji kwa sasa. Tutumie ya bwawa la Rufiji tupumzishe vile vinu vingine ili kuvifanyia ukarabati pia kupunguza tope ktk mabwawa ya zamani. Bei itashuka. Vinginevyo wapandishe kima cha tarrif 4 kutoka 75 units mpaka 250 tuweze kutumia umeme kupikia.Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.
Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.
Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.
PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia
- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Hii nchi jamani..!Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.
Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.
Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.
PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia
- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Mamlaka zinasema tunazalisha mwingi kuliko mahitaji, kama ni kweli.... badala ya kuuza nje mbona tunazima mitambo?Mtauzaje wakati bado hamna umeme wa kuwatosheleza MAHITAJI mkuu?
Hii nchi ina vituko Sana, na kwanini bei ya unit moja ya umeme ibakie ileile ya kipindi cha ukame na wakati sasa hivi wanasema Wana umeme ambao hawajui pa kupeleka? Tusidanganyane bado umeme ni tatizo nchiniMamlaka zinasema tunazalisha mwingi kuliko mahitaji, kama ni kweli.... badala ya kuuza nje mbona tunazima mitambo?