Serikali msizime mitambo ya kuzalisha umeme

Basi uzieni majirani, ila muwe macho mkileta mchezo wa umeme kukatika bila sababu yenye vigezo mtashtakiwa kimataifa.
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.
Ingekua January kasema haya kama naona ambavyo angeitwa mhujumu uchumi na mpiga dili!! Ila kwa Biteko watu kimyaaaaa.
 
Sidhani km uwingi wa umeme ni sababu ya kuzimwa. Nilivyosikia ni kuwa mitambo yote 8 ya uzalishaji hayajakamilika. Umeme ni bidhaa ungeweza kuuzwa nje ya nchi
Kasikilize tena taarifa ya waziri wa Nishati Bw. Biteko
 
washushe bei ya unit tufunge AC mpaka chooni wataona matumizi ya umeme yatakavyopanda.
mpaka chipsi zege zitapikwa kwa majiko ya umeme.
 
Nilishangaa sana kusikia waziri anasema umeme unazalishwa ni mwingi kuliko matumizi.Nikamkumbuka trump aliposema Africa ni shithole country
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa

Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Bei ipo juu kwa sababu ya umeme wa gesi asilia iko juu. Hao wawauzie south africa huo. Sisi tubaki na huu wa mabwawa ambao ni zaidi pia ya mahitaji kwa sasa. Tutumie ya bwawa la Rufiji tupumzishe vile vinu vingine ili kuvifanyia ukarabati pia kupunguza tope ktk mabwawa ya zamani. Bei itashuka. Vinginevyo wapandishe kima cha tarrif 4 kutoka 75 units mpaka 250 tuweze kutumia umeme kupikia.
 
Turudishe mpango wa kuunganisha umeme kwa elfu 27, tuongeze bei ya umeme kwa unit moja kwa shs 20, mapato ya tanesco yataongezeka kwa 20%. Hii itaongeza uwezo wa shirika kuwahudumia wananchi
 
Serikali ingeshusha bei ya umeme mapato yake yangekuwa sana sababu ya kuchochewa kwa shuguli za kiuchumi. Badala ya kuuza Unit moja 360 wauze 150-200.
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Hii nchi jamani..!
 
Mamlaka zinasema tunazalisha mwingi kuliko mahitaji, kama ni kweli.... badala ya kuuza nje mbona tunazima mitambo?
Hii nchi ina vituko Sana, na kwanini bei ya unit moja ya umeme ibakie ileile ya kipindi cha ukame na wakati sasa hivi wanasema Wana umeme ambao hawajui pa kupeleka? Tusidanganyane bado umeme ni tatizo nchini
 
Back
Top Bottom