Serikali msizime mitambo ya kuzalisha umeme

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,732
22,856
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
 
Inatakiwa wazime mitambo inayotumia mafuta na Gasi tu ibakie hiyo ya maji na bei ya umeme ishuke maana production cost itakuwa ndogo
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji
Waongo wakubwa
Siasa zitakuja kuwatokea puani
Matumizi madogo kuliko uzalishaji na wanakata umeme huku kwetu?

Ila siasa na uchizi fresh ni hiviii 🫰
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.


Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni mdogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme .


Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.


Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.
Kiukweli wanazingua!
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Serikali ikifuata ushauri wako mgao wa umeme utakuwa ni jambo la kudumu!
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Hii nchi utafikiri inaongozwa na wajinga watupu kwa kua kila kigogo anavutia mpango wake wa upigaji hela ya umma. Eti leo unawaambia watu mnazima mtambo mpya ambao umekua unasubiriwa kama lulu unasema mahitajini ya umeme ni madogo? Hapohapo unanunua umeme toka nchi jirani na hapohapo unasema utauza umeme nje? Yaan kila kigogo anavuta kamba kwake. Hakika ni kichekesho. Inawezekana umeme kuuza au kununua kutokana na mtandao wa usambazaji lakini hiki kinachoendelea ni mvutano tu usio na kichwa wala mkia. Serikali ya Samia inapaswa kuweka mambo sawa kuhakikisha usambazaji umeme kwa bei ya chini maana sasa ni mwingi. wananchi wapate umeme kwa bei ya chini na pia tuweze kuvutia wakezaji wa viwanda kwa umeme rahisi. Sio tunasikia sauti za vibaraka wenye kutumika na mabeberu kuchanganya watu juu ya umeme. Kwa vyovyote hao vibaraka wangekua na sauti awamu ya 5 wala bwawa la nyerere lisingejengwa maana lengo lao ni nchi kama Tanzania ziwe na uhaba wa umeme na umeme wa beikubwa daima.
 
Nimemsikia Waziri wa Nishati Bw. Biteko akisema Serikali imelazimika kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwl Nyerere kwa kuwa matumizi ya umeme nchini ni madogo kuliko uzalishaji.

Nataka nimwambie Waziri Biteko kauli yake ya kuwa matumizi ni madogo SIYO KWELI bali ni kwamba UNIT moja ya umeme kwa bei anayouziwa mwananchi ni kubwa hivyo inalazimu watu kujizuia kutumia umeme kwa wingi, watu wanaogopa hata kutumia majiko ya umeme au heater ya kuchemshia maji kisa bei ya unit ipo juu. Shusheni bei ya umeme watu waachane na kuni watumie umeme kupikia.

Namshauri Waziri na bodi ya TANESCO wakae tena chini kufanya tena Mapitio ya gharama ya Unit za umeme.

Hatuwezi kusema tuna umeme wa kutosha mpaka kufikia kuzima mitambo huku bei ya umeme ipo juu. Vinginevyo tunakuwa tunadanyanyana.

PIA SOMA
- Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

- TANESCO: Umeme tunaozalisha ni mwingi mahitaji ni madogo nchi nzima, hakuna mgawo kwa sasa
Sidhani km uwingi wa umeme ni sababu ya kuzimwa. Nilivyosikia ni kuwa mitambo yote 8 ya uzalishaji hayajakamilika. Umeme ni bidhaa ungeweza kuuzwa nje ya nchi
 
Mvua ndo kwanza zimeshamiri, tunazima mtambo hayo maji ndo tunayachepusha, au? Huo mmoja tunazima na saba iliyobaki tunaendelea kuwasha, au?
 
Back
Top Bottom