SteveJr99
Senior Member
- May 13, 2019
- 118
- 243
Tunajua wanaume ni viongozi na vichwa katika familia zetu na majukumu ya mwanamume na mwanamke huwa yanafahamika vizuri tu ndani ya nyumba.
Sasa ni kwanini siku ambayo mwanamume akipumzika nyumbani yaani haendi kazini mwanamke analazimisha kwamba umsaidie kazi na usipofanya ananuna hii ikanifanya niulize swali hili
Je, mwanaume kumsaidia mwanamke kazi nyumbani ni wajibu au hiari?
Sasa ni kwanini siku ambayo mwanamume akipumzika nyumbani yaani haendi kazini mwanamke analazimisha kwamba umsaidie kazi na usipofanya ananuna hii ikanifanya niulize swali hili
Je, mwanaume kumsaidia mwanamke kazi nyumbani ni wajibu au hiari?