Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 242
- 1,071
Idumu JF,
Namuuliza yule mwanamke ambaye kakubali kuolewa lakini anafanya kazi na kipato anachopata kazini anasema chake si cha familia!
Mume ni sawa anaitunza familia kwa huduma zote zinazompasa, na upendo kwa mkewe upo wa kutosha!!
Ninavyoelewa mimi ndoa ni muunganiko baina ya watu wawili (me na ke) mwende mkakabiliane na changamoto zenu; mtazokutana nazo hukoo ndoani thus why mke ambaye ni mama wa nyumbani anasimamia malezi ya watoto, usalama wa makazi, bajeti za nyumbani katika kuhakikisha mahitaji yanapatikana, kazi zote za nyumbani na kuhakikisha baba anakwenda kazini akiwa na furaha na amani!
Hayo ni majukumu mazito sana ambayo yumkini hata mama yako aliyabeba!!
Sasa wewe nyumbani huonekani ukiondoka asubuhi saa moja kurudi saa moja usiku, weekend Jumamosi kazini na Jumapili saloon!!
Wewe kama mama na mke wa familia, jukumu lako ni lipi hapo maana kipato chako hatukioni na nyumbani hupatikani! Malezi ya watoto na majukumu yote ya nyumbani yapo kwa dada wa kazi!! Umuhimu wako upo wapi?? Why niwe na uchungu nawe na nafasi yako siioni kama mke na mama watoto wangu??
Limenifika hapa! Hebu nifungueni pengine nitaelewa nikabadili mawazo!!
Namuuliza yule mwanamke ambaye kakubali kuolewa lakini anafanya kazi na kipato anachopata kazini anasema chake si cha familia!
Mume ni sawa anaitunza familia kwa huduma zote zinazompasa, na upendo kwa mkewe upo wa kutosha!!
Ninavyoelewa mimi ndoa ni muunganiko baina ya watu wawili (me na ke) mwende mkakabiliane na changamoto zenu; mtazokutana nazo hukoo ndoani thus why mke ambaye ni mama wa nyumbani anasimamia malezi ya watoto, usalama wa makazi, bajeti za nyumbani katika kuhakikisha mahitaji yanapatikana, kazi zote za nyumbani na kuhakikisha baba anakwenda kazini akiwa na furaha na amani!
Hayo ni majukumu mazito sana ambayo yumkini hata mama yako aliyabeba!!
Sasa wewe nyumbani huonekani ukiondoka asubuhi saa moja kurudi saa moja usiku, weekend Jumamosi kazini na Jumapili saloon!!
Wewe kama mama na mke wa familia, jukumu lako ni lipi hapo maana kipato chako hatukioni na nyumbani hupatikani! Malezi ya watoto na majukumu yote ya nyumbani yapo kwa dada wa kazi!! Umuhimu wako upo wapi?? Why niwe na uchungu nawe na nafasi yako siioni kama mke na mama watoto wangu??
Limenifika hapa! Hebu nifungueni pengine nitaelewa nikabadili mawazo!!