Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

Tuwekane sawa

#Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu.

#Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa akamaintain huo muda wa tendo la ndoa kama mkiwa kwenye relationship au ukichepuka.

Kuna mambo mengi nyuma ya huo muda kuna kukamia na dawa za nguvu pia

UHALISIA

Tendo la ndoa

Dk 1-2 ni muda mchache

Dk 3-7 ni muda KAWAIDA

Dk 10-30 na kuendelea ni muda mrefu

Mwanamke usimuache mtu wako kisa muda mchache

#Ukimuonesha tu unaridhika na hujali mumeo au mpenzi wako taaratibu ataperfom vizuri

#Ukionesha kutoridhika na kumsema ujue unamuharibu na hatokuja kukaa sawa.
Nadhani unaongelea first round naweza kukubaliana na wewe, lakini mtu ambaye uko under 50 hata ukikojowa kwa muda huo bado unapaswa kuwa na nguvu za kuendelea na kazi mpaka second part naye akojowe.

Then from there mkirudi kwenye game no excuse unatakiwa upige mzigo mtoto wa kike ajuwe yupo na dume la mbegu.

Vitu vyote vya kufanya ili mwanaume uwe na nguvu vimeshaelezwa sana siwezi kurudia, ukishindwa kufuata utaratibu wa lishe na mazoezi basi tumia bapa la Konyagi ili damu ichemke, halitokuvunjia heshima, mziki wake ni kama watumia vumbi.
 
Mwanaume kumpa mimba mwanamke ni lazima akojoe, ila mwanamke kupokea mimba si lazima. Na kwenye biblia imeandikwa nendeni mkazaane na kuijaza dunia sio nendeni mkastarehe.

Sekunde 15 mpaka 35 za afya zinanitosha kabisaaa

Bro unataka kutumia masaa juu ya kifua cha demu kwani unachimba kokoto humo ndani?

Hata upambane vipi bro huwezi kushindana na technology, mademu wanatumia dildo nyingine mwendaa!!! Mengine ni ya umeme kabisa linasugua kisimi mpaka kinapata kutu, halafu unakuja MASTA KIBOLO eti unataka umridhishe dem, bro huwezi kushindana na technology kamwe
Hii siyo excuse hata kidogo, mke wako lazima atatombwa tu kama unaamini hili, hakuna mwanamke wa kuvumilia huu ujinga.
 
Mwanaume kumpa mimba mwanamke ni lazima akojoe, ila mwanamke kupokea mimba si lazima. Na kwenye biblia imeandikwa nendeni mkazaane na kuijaza dunia sio nendeni mkastarehe.

Sekunde 15 mpaka 35 za afya zinanitosha kabisaaa

Bro unataka kutumia masaa juu ya kifua cha demu kwani unachimba kokoto humo ndani?

Hata upambane vipi bro huwezi kushindana na technology, mademu wanatumia dildo nyingine mwendaa!!! Mengine ni ya umeme kabisa linasugua kisimi mpaka kinapata kutu, halafu unakuja MASTA KIBOLO eti unataka umridhishe dem, bro huwezi kushindana na technology kamwe
ujengewe sanamu kabisaa
 
Sure, sasa wewe unafika chap hata hamjaanza kuongea unarukia k, sasa demu atapata wapi intimacy! Ugwadu unawaponza wengi
Lakini kuna wanawake pia wana tatizo la nguvu za kike, hawa ni pasua kichwa na shida hawajui kama wao ndio wenye tatizo.

Piga romance zote, piga deki fanya yote lenyewe linasikia utamu tu, kumkojoza uwe serious na huo uchi otherwise atakuectia tu kama amekojowa kumbe wala anakuridhisha wewe tu.
 
sasa dkk 7 tayari ashafika mawenzi, mbona hata viuno na manjonjo nakua bado sijaoneshaa?

Aaah wee sikubali!!
Yani mimi pale unapomfikisha mwanamkw kileleni anatoa sauti flani hivi ya kipekee yowe si yowe ukunga si ukunga yani uchungu mtamu huku akitupatupa mikono hovyohovyo. Naam hapo ndo ukamilifu wa uumbaji wa Mungu unajidhihirisha waziwazi.

Acheni Mungu aitwe Mungu.

A masterpiece from the master himself!

Sirgodi maamae
 
Back
Top Bottom