Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,611
- Thread starter
- #41
Sijakataa kuhusu mafuta kupanda beiMafuta yamepanda bei
Akiba ya dollar hakuna
Ajira hakuna
Huu uchumi umekua vipi
Ndio akiba ya dola inapungua, na nimegusia sababu na mwarobaini.
Unasema ajira hakuna, jiulize je unaajirika? Una vigezoo? Sawa hakuna za kutosha ila huwezi fananisha na kipindi kile cha uchumi kilema...