Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,444
- 4,235
Utapambania wapi bro bila fair play .sasa hivi kuna Ka kikundi kanadhani ndo Kako na mandate ya kuongoza.Mkuu, utajiri sio kuangalia source,
Kina Abood walimeza viwanda vingap leo iko wapi, baba na babu zetu walikuwa wapi wakati hao wanameza viwanda,
Hayo yote ndio yanayotutofautisha, hakuna utajiri wa bahati, ni kutumia fursa zilizo mbele yetu, wazee wetu nao walikuwepo kipindi hicho cha ubinafsishaji, je walifanya nini? Kama hawakufanya kitu bas they don't deserve wealth, hizo sera mbovu zipo kwa wote, wazungu na sisi, tupambane tuache sababu nyingi, hakuna nchi perfect, hakuna nchi isio na maskini, kikubwa kwenye mazingira haya haya jua unachomokaje na unapataje pesa nying