chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,411
- 21,317
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake.
Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.
Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.
Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.
Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe
Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya maoni ya wahasibu, amelazimisha apewe hela za mishahara za watumishi wa chama ili yeye na genge lake wazurure halafu jioni wachome nyama na kunywa whyisky.
Anakaa katika vikao vya chama wanaalika viongozi wa vyama vingine, anapiga kura kwa nguvu kuunga mkono, kesho yeye binafsi bila vikao, anakataa.
Mambo mengi ya chama yanakubaliwa, lakini yeye anatoka nje anayakataa.
Lissu ni JPM aliyefungwa polonium, bora hata JPM mwenyewe