GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,736
- 109,328
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka mkoani Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Simba na Yanga utakaopigwa, Jumamosi hii.
Katika mchezo huo, Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga wa Dar es Salaam, watakuwa waamuzi wasaidizi, wakati Tatu Malogo kutoka Tanga ndiye atakuwa mwamuzi wa akiba..
Katika mara tatu ambazo Arajiga amechezesha mechi baina ya Simba na Yanga, matokeo yanaonesha kwamba, Yanga imeshinda mara mbili na moja ushindi umeenda upande wa Simba, hakuna sare..
Jul 25, 2021: Yanga 0-1 Simba (Fainali ASFC)Mei 28, 2022: Yanga 1-0 Simba (Nusu fainali ASFC)Nov 5, 2023: Simba 1-5 Yanga (Ligi Kuu)
Chanzo: SportsArenaTz
Ninachofahamu tu ni kwamba Arajiga ni mwana Simba SC lia lia na hawa Washika Vibendera Wote hasa Mzee wa Pombe za Bure Mkono na Mwenzake Mpanga Wote hawa si tu kuwa ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC vile vile huku Dada yangu Tatu Malogo ambaye nae ni mwana Simba SC lia lia Tatu Malogo akiwa Mwamuzi wa Akiba.
Arajiga wana Simba SC hatutaki Utubebe Kesho ila nawe Usituumize kwa Kuogopa kuwa kwakuwa unajulikana ni mwana Simba SC basi utataka Kuwapa Yanga SC Upendeleo ili hata Siku zingine ukienda katika Maduka ya GSM kufanya Shopping na Mkeo Mrembo sana upewe Discount au upewe bure kabisa.
Nakuomba Kesho chezesha Mchezo huu kwa Haki kabisa, acha Kuogopa au Kutishwa Mungu atakusaidia sawa?
Cc: Mwana Yanga SC ninayemkubali hasa hapa JF kwakuwa anajua Mpira na hasa Soka la Tanzania Dr Matola PhD
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.
Katika mchezo huo, Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga wa Dar es Salaam, watakuwa waamuzi wasaidizi, wakati Tatu Malogo kutoka Tanga ndiye atakuwa mwamuzi wa akiba..
Katika mara tatu ambazo Arajiga amechezesha mechi baina ya Simba na Yanga, matokeo yanaonesha kwamba, Yanga imeshinda mara mbili na moja ushindi umeenda upande wa Simba, hakuna sare..
Jul 25, 2021: Yanga 0-1 Simba (Fainali ASFC)Mei 28, 2022: Yanga 1-0 Simba (Nusu fainali ASFC)Nov 5, 2023: Simba 1-5 Yanga (Ligi Kuu)
Chanzo: SportsArenaTz
Ninachofahamu tu ni kwamba Arajiga ni mwana Simba SC lia lia na hawa Washika Vibendera Wote hasa Mzee wa Pombe za Bure Mkono na Mwenzake Mpanga Wote hawa si tu kuwa ni Mashabiki wa Yanga SC bali pia ni Wanachama wa Yanga SC vile vile huku Dada yangu Tatu Malogo ambaye nae ni mwana Simba SC lia lia Tatu Malogo akiwa Mwamuzi wa Akiba.
Arajiga wana Simba SC hatutaki Utubebe Kesho ila nawe Usituumize kwa Kuogopa kuwa kwakuwa unajulikana ni mwana Simba SC basi utataka Kuwapa Yanga SC Upendeleo ili hata Siku zingine ukienda katika Maduka ya GSM kufanya Shopping na Mkeo Mrembo sana upewe Discount au upewe bure kabisa.
Nakuomba Kesho chezesha Mchezo huu kwa Haki kabisa, acha Kuogopa au Kutishwa Mungu atakusaidia sawa?
Cc: Mwana Yanga SC ninayemkubali hasa hapa JF kwakuwa anajua Mpira na hasa Soka la Tanzania Dr Matola PhD
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.