GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,909
- 109,659
Tena nadhani kwa mwana Simba SC kuliko kuwa na Usununu ( Chuki ) dhidi ya Yanga SC kufika Fainali ya CAFCC ni Bora tukazihamishia kwa Mwekezaji Wetu, Mwenyekiti wa Bodi, Mwenyekiti wa Wanachama, CEO Wetu, Benchi la Ufundi na Wachezaji wa Simba SC kwani Wao ndiyo Chanzo Kikuu cha Sisi leo Kuchekwa, Kudharauliwa, Kudhihakiwa na Kufeli kote huku.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.
Tutanuna mno Yanga SC ndiyo Bingwa Mpya wa Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) kwa mwaka 2023.