Ni kweli Simba SC ya sasa ina 'dema dema' na kukatisha Tamaa, ila Yanga SC nawaonya acheni Kubweteka, Kutudharau na Kumaliza maneno yote sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,505
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga Gap litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
Kaka, pole sana
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
Nakuunga mkono asilimia zote. Hakuna mechi ngumu kwa Yanga kama mechi ya tarehe 20 kutokana na hali ya Simba kwa sasa ambayo wanayanga wengi inawapumbaza na kuwafanya wajihamini kupita kiasi.
Kama kweli Yanga wanahitaji ubingwa inabidi wajiandae sana mechi ya tarehe 20 na matokeo ya simba yasiwapumbaze.
Tofauti na hapo itakuwa kama mechi ya Azam na Yanga itapoteana na kumaliza patupu msimu huu.
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
Kule Simba mashabiki, msemaji hadi kocha huwa wanaweza wakasajili, wakapanga vikosi na hata kuamua matokeo.
Yanga huo muda hawana, kazi ya kuamua nani acheze na acheze vipi ni ya Kocha. Wachezaji kazi yao ni kucheza kwa kushirikiana kupata matokeo, habari za kujua wanacheza na nani au lini wala huwa haziwahusu. Ukiwauliza wachezaji wa Yanga mechi ijayo wanacheza na timu gani wala huwa hata hawajui. Mara nyingi wakifika uwanjani siku hiyo ndiyo hujua wanacheza na timu gani na wengine hujua baada ya mechi.
Kwanza wachezaji wenyewe wa Yanga hata hawajui kuwa wao ndiyo wanaongoza Ligi au nani anaongoza Ligi.
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
mm ni YANGA lkn umeongea ukweli!mechi za derby zina maajabu yake
 
Umefungua uzi wa Kuwasifia Simba derby ijayo
Jana ulifungua Uzi wa kuwasifia Yanga Derby ijayo
Ili matokeo yoyote yatakayotokea Uzi wako wowote utakimbiliwa kati ya hizo

Kweli unajua kucheza kama peĺe
Unadhani ninavyoambiwa Mimi 'Genius' wasemao hivyo wanakosea?
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
yanga haina maneno mengi kwetu sisi ni mpira tu
 
Simba anaweza kutufunga kama ilivyokuwa msimu uliopita ili kunusuru mpasuko zaidi ila sio kuchukua ubingwa. Ata draw mechi nyingi na hata kufungwa huo umafia wamengeutumia kwenye mechi na mashujaa tuondolee unafiki wako hapa wa kujifanya unajua kila kitu.
 
Hata itokee muujiza Yanga apoteze mechi mbili, bado GD itambeba Yanga.

Zingebaki tofauti ya point 4 huo umafia ningeweza kuona una manufaa na uwezekano wa kufanikisha lengo maana hapo ilikuwa inahitaji angalau Yanga apoteze moja na atoke sare moja ili awe amepoteza point 5.

Yote ya yote, Simba hii haionyeshi dalili za kuweza kushinda mechi 5 mfululizo wakati katika mechi 4 zilizopita imefungwa 3 na kusare 1.
 
Hili Gamondi na wachezaji naamini wanatambua tushamalizana na huko kwa Motsepe Sasa tuta deal na NBC na Crdb cup aggressively hakuna kupuuza mechi yoyote
 
Nakuunga mkono asilimia zote. Hakuna mechi ngumu kwa Yanga kama mechi ya tarehe 20 kutokana na hali ya Simba kwa sasa ambayo wanayanga wengi inawapumbaza na kuwafanya wajihamini kupita kiasi.
Kama kweli Yanga wanahitaji ubingwa inabidi wajiandae sana mechi ya tarehe 20 na matokeo ya simba yasiwapumbaze.
Tofauti na hapo itakuwa kama mechi ya Azam na Yanga itapoteana na kumaliza patupu msimu huu.
Hilo linafahamika na hili ndilo lililotokea kwenye msimu uliopita Simba wakashinda 2 kwa 1 kwani Yanga walijiamini sana kuliko Simba. Wanatakiwa wawe makini katika hili.
 
Na kumbukeni Simba SC ikifanikiwa tu Kuwafunga katika Derby ijayo Pengo ( Gap ) litabaki la Alama ( Points ) Tatu ( 3 ) na kwa Mkakati wa Dharula wa Kimafia ambao nimeusikia unapangwa mahala upo Uwezekano mkubwa wana Yanga SC wanaojiamini kuwa tayari Wameshakuwa Mabingwa kutokana na Matokeo mabaya ya Simba SC wakashikwa na butwaa na wasiamini nini kimetokea.

Najua huenda huu Uzi wangu baadae ukaja Kukimbiliwa na Watu kwa Kitakachotokea na Maono yangu ninayoyaona.
Mpaka dakika hii Kwa mechi zilizochezwa gape ni point 9, lielewe hili vizuri.

Hesabu ulichonacho Kwanza
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-180719.png
    Screenshot_20240414-180719.png
    88.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom