OscarkambonaJr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 2,076
- 3,492
- Thread starter
- #21
Huijui Simba na Mvua,Kumbuka Hili badaeKumbuka haichezi hali ya hewa.
Huijui Simba na Mvua,Kumbuka Hili badaeKumbuka haichezi hali ya hewa.
Simba hana ubavu wa kushinda kabisa, hiyo timu haina wachezaji kabisa. Sisi wananchi lazima tuwadundeWasalam
Kwa jinsi mvua inavyochapa hapa mjini Wanasimba tuanze kabisa kushangilia kuwa kesho tunapata ushindi na kufufua matumaini yetu ya kuwa mabingwa msimu huu
Historia inaonyesha Simba anajua kucheza na kipindi cha mvua na huwa anaifunga timu ya Yanga
KESHO ANAKUFA MTU.
Wazee wa Yanga wamefanikiwa kuipunguza mvua leo ni Jua tu mpk mida hii.Wasalam
Kwa jinsi mvua inavyochapa hapa mjini Wanasimba tuanze kabisa kushangilia kuwa kesho tunapata ushindi na kufufua matumaini yetu ya kuwa mabingwa msimu huu
Historia inaonyesha Simba anajua kucheza na kipindi cha mvua na huwa anaifunga timu ya Yanga
KESHO ANAKUFA MTU.
Itamwagika kidogo tu wameishaWazee wa Yanga wamefanikiwa kuipunguza mvua leo ni Jua tu mpk mida hii.
Mbumbumbu wapo na umbumbumbu upo ujueFicha ujinga wako
Pyeeeeeee...!💚💛🤸
Mbona mmefungwa mbili nyie ni wabovu sanaKesho sio mbali.
Jifunze kuwa na subra.
OSCAR KAMBONA HAKIWA ZWAZWA.
Aliyekupiga umeme amefanya jambo lililo jema sana. Maana kati ya watoto wa miaka ya 2000 wanaozingua humu jukwaani, inawezekana ukawa unashika nafasi ya kwanza.Kesho sio mbali.
Jifunze kuwa na subra.
OSCAR KAMBONA HAKIWA ZWAZWA.
Na ndo vitu kama hivi vinafanya tuendelee kuwa na timu mbovuHuijui Simba na Mvua,Kumbuka Hili badae
Kipindi cha karibuni mvua zikipiga mmekua mnafilimbwaHuijui Simba na Mvua,Kumbuka Hili badae