Kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme inaweza kuwa suluhisho la tatizo la umeme?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,268
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme. Huku miundombinu ya umeme iwe kama barabara zinavyotumika na daladala inaweza saidia kupunguza shida ya umeme?

Na uzalishaji si mpaka uwe mkubwa. Kuna nchi mtu ukiweka umeme wa sola unaunganishwa kwenye gridi. Kama unazalisha wa kukutosha na ziada, basi ile ziada inaenda kwenye gridi na unalipwa. Kama unazalisha kidogo basi utachukua kwenye gridi ili kufidia na utalipia hicho kiasi ulichochukua.

Maana hii shida ni too much. Wamekata hapa mpaka jioni. Dola zitapatikanaje kwa mtindo huu.
 
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme. Huku miundombinu ya umeme iwe kama barabara zinavyotumika na daladala inaweza saidia kupunguza shida ya umeme.

Na uzalishaji si mpaka uwe mkubwa. Kuna nchi mtu ukiweka umeme wa sola unaunganishwa kwenye gridi. Kama unazalisha wa kukutosha na ziada, basi ile ziada inaenda kwenye gridi na unalipwa. Kama unazalisha kidogo basi utachukua kwenye gridi ili kufidia na utalipia hicho kiasi ulichochukua.

Maana hii shida ni too much. Wamekata hapa mpaka jioni. Dola zitapatikanaje kwa mtindo huu.
Naaani wa kuruhusu huo upinzani na tanesco? Hawawez kubali maan tansco ni kitengo cha kundi flan kupigia hela!! Hata bwawa lianze uzalishaj nakuhakikishia umeme utakua ni changamoto tu!! Kama watu wamemletea figisu Elon kuleta internet kwa gharama nafuu unategemea nn hapo.
 
Naaani wa kuruhusu huo upinzani na tanesco? Hawawez kubali maan tansco ni kitengo cha kundi flan kupigia hela!! Hata bwawa lianze uzalishaj nakuhakikishia umeme utakua ni changamoto tu!! Kama watu wamemletea figisu Elon kuleta internet kwa gharama nafuu unategemea nn hapo.
Shida hapo.
 
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme. Huku miundombinu ya umeme iwe kama barabara zinavyotumika na daladala inaweza saidia kupunguza shida ya umeme.

Na uzalishaji si mpaka uwe mkubwa. Kuna nchi mtu ukiweka umeme wa sola unaunganishwa kwenye gridi. Kama unazalisha wa kukutosha na ziada, basi ile ziada inaenda kwenye gridi na unalipwa. Kama unazalisha kidogo basi utachukua kwenye gridi ili kufidia na utalipia hicho kiasi ulichochukua.

Maana hii shida ni too much. Wamekata hapa mpaka jioni. Dola zitapatikanaje kwa mtindo huu.
Tatizo ni serekali ya ccm tangu tumepata uhuru mashirika yake ujiendesha kwa haasara,ukisema wasimamie ubora bado wanauwezo kuingiza udalali na kutengeza tatizo jipya kama wanavyofanya kwenye mafuta,pia ccm kuwaachia wa Tanganyika kuzalisha umeme wenyewe ningumu sana watatafuta warabu wa Dubai au wachina ili wapate 10% chanzo cha matatizo ni ccm kukakaa mdarakani muda mrefu.
 
Habari. Nasikia zamani Dar watu binafsi hawakuruhusiwa kumiliki daladala za abiria. Usafiri ilikuwa shida sana. Baadaye serikali ikaja kuruhusu na ahueni ya usafiri ikapatikana. Serikali kuruhusu watu binafsi kuzalisha na kuuza umeme. Huku miundombinu ya umeme iwe kama barabara zinavyotumika na daladala inaweza saidia kupunguza shida ya umeme.

Na uzalishaji si mpaka uwe mkubwa. Kuna nchi mtu ukiweka umeme wa sola unaunganishwa kwenye gridi. Kama unazalisha wa kukutosha na ziada, basi ile ziada inaenda kwenye gridi na unalipwa. Kama unazalisha kidogo basi utachukua kwenye gridi ili kufidia na utalipia hicho kiasi ulichochukua.

Maana hii shida ni too much. Wamekata hapa mpaka jioni. Dola zitapatikanaje kwa mtindo huu.
Solar nayo inatoa umeme tayari Kampuni binafsi zipo huko.
 
Tatizo ni serekali ya ccm tangu tumepata uhuru mashirika yake ujiendesha kwa asala,ukisema wasimamie ubora bado wanauwezo kuingiza udalali na kutengeza tatizo jipya kama wanavyofanya kwenye mafuta,pia ccm kuwaachia wa Tanganyika kuzalisha umeme wenyewe ningumu sana watatafuta warabu wa Dubai au wachina ili wapate 10% chanzo cha matatizo ni ccm kukakaa mdarakani muda mrefu.
Zalisha tu umeme hakuna kizuizi
 
Zipo njia nyingi za kuzalisha umeme binafsi kwa matumizi binafsi ya nyumbani au kiwandani kwa kutumia solar,taka za plastic,maranda,mabaki ya mazao,mafuta,maji,oil chafu,nk
 
Naunga mkono hoja kiongozi...TANESCO inajipa mzigo wa bure,ingeachia sekta binafsi ifanye kazi,yenyewe ingeendelea uzalishaji kwenye maeneo yake+ kusimamia usambazaji..

Pili hao watu wa sekta binafsi wangepewa mikoa or kanda..kwamba wewe X,tunakupa mkoa wa Katani or Katani + Rukwa,wewe Z tunakupa mkoa wa Geita wote..

Serikali yenyewe ingebaki kwenye kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji,kuboresha mifumo ya usafirishaji kupitia TANESCO pamoja na kukusanya KODI

Sekta binafsi IPO,ina MITAJI + UTAALAMU tuitumie ili kuondoa JANGA hili la UMEME
 
Naunga mkono hoja kiongozi...TANESCO inajipa mzigo wa bure,ingeachia sekta binafsi ifanye kazi,yenyewe ingeendelea uzalishaji kwenye maeneo yake+ kusimamia usambazaji..

Pili hao watu wa sekta binafsi wangepewa mikoa or kanda..kwamba wewe X,tunakupa mkoa wa Katani or Katani + Rukwa,wewe Z tunakupa mkoa wa Geita wote..

Serikali yenyewe ingebaki kwenye kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji,kuboresha mifumo ya usafirishaji kupitia TANESCO pamoja na kukusanya KODI

Sekta binafsi IPO,ina MITAJI + UTAALAMU tuitumie ili kuondoa JANGA hili la UMEME
Nyie wagumu wa kuelewa tatizo ni ccm ndio wanavuruga kilakitu mtabaki mnaongea mtandaoni miaka nenda mika rudi bila mafanyikio,uwezi kutatua tatizo bila kujua chanzo cha tatizo.
 
Back
Top Bottom