Kilichotokea weekend hii kati ya mimi na binti alokula nauli yangu wiki mbili zilizopita. Mabinti kuweni na adabu na hela za wanaume rijali, mtaumia

nikapiga zangu booster fln hivi tunatumia wajanja tu. Ile ngoma tunaitoa kenya, ukiitumia unaweza piga bao 12 kama ni mzee na bao 20 kama ni kijana, na magoli mengi yanakua mazito halafu ya moto moto hv. Ila ukishamaliza game utalala usingizi mzito na ukiamka hangover yake inaweza dumu hadi siku mbili (ndio state niliopo kwa sasa).
Wewe ni salesman makini..
Bila shaka ushapata oda kibao za hiyo booster
 
mkuu ukumbuke kuvaa kondom...grade mpya ilio ingia haikubali dawa...

leo hii una kula raha bila kuwashirikisha ndugu zako ila likikupata la kukupata watakao pata tabu ni sisi ndugu zako...

toambana KISTAARABU ndugu yangu.​
 
Back
Top Bottom