GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,509
Kamanda ambaye hakuna Mechi ya NBC Premier League iwe Kwa Mkapa au Chamazi anakosa sasa huo Utendaji wake hadi kufikia nae kupewa hiyo Nishani jana na IGP Wambura ni upi? Kama kuna Makamanda ambao nawakubali hasa Kiutendaji wao basi wale wa Tabora, Kigoma, Arusha, Rukwa, Morogoro, Lindi na Kwetu kwa Wanamume wa Shoka Mkoani Mara ( Musoma ) ila kwa RPC Muliro najua kapewa kwa janja janja tu ila hakustahili.