Shida israel mpaka akaombe approval white house ila Iran anaamua mwenyewe anatupianasubiri Israel irushe hata chembe ya mchanga!
Shida israel mpaka akaombe approval white house ila Iran anaamua mwenyewe anatupianasubiri Israel irushe hata chembe ya mchanga!
Wewe jamaa upo kwenye kikao cha IDF wa Buza.Kwamba Iran ikishambulia kutokea ndani mwake huko Iran, basi hapo itakua ndio vita kamili ya moja kwa moja ambayo itapelekea anguko la Ayatollah na maugaidi yao.
Ifahamike kwamba Israel imekua ikiitamani sana Iran, au taifa lolote linatumia ugaidi wa kiislamu kusumbua dunia.
Hawa HAMAS sio taifa, wamejificha ndani ya watoto hivyo hamna jinsi rahisi ya kuwafumua.
=========================
Israel told the U.S. if Iran launches an attack from its soil against Israel in retaliation for its deadly strike in Syria earlier this week, it would draw a strong response from Israel and take the current conflict to another level, Israeli officials tell Axios.
Why it matters: Iranian officials have publicly threatened to retaliate against Israel for the attack that killed a top Iranian official. The Biden administration and the Israeli government are highly concerned Iran is preparing for an imminent attack, U.S. and Israeli officials said.
The latest: Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said at the top of an Israeli security cabinet meeting on Thursday that Iran has been operating against Israel for years "both directly and via its proxies, and therefore Israel is operating against Iran and its proxies, both defensively and offensively."
- Iranian proxies in Lebanon, Syria, Iraq and Gaza have attacked Israel but there hasn't been an attack from Iranian soil.
- A direct Iranian strike on Israel would be unprecedented and could lead to a regional war in the Middle East.
Axios
- "We will know how to defend ourselves and will operate according to the basic principle of whoever is harming or planning to harm us — we will harm him," he said according to a statement from his office.
- In their call on Thursday, President Biden and Netanyahu discussed public Iranian threats against Israel. "President Biden made clear that the United States strongly supports Israel in the face of those threats," the White House said.
Haya kiko wapi 😂 una la kusema ndugu chambuzi Iran kawagonga tunasubiri ifutweIran akithubutu kurusha hata dongo Israel kutokea Tehran yatamkuta ya Sadam Husein. Njia pekee anayoweza kutumia ni kuyatumia makundi kama Hamas, Hought ba Hizbulah kushambulia Israel. Ni wazi kupigana na vikundi vinavyojificha kwa raia ni ngumu mno na ndio maana hadi leo Israel kashindwa kuwamaliza Hamas, ila wakizichapa face to face na Iran sioni vita ikichukue miezi mitano kuna mmoja ataomba poo.
Wayahudi wengi akiwemo Netanyahu mwenyewe hawana marindaIran
Iran piga hayo majangili ya kiyahudi
Watu wenyewe matobo yako wazi, so hiyo nguvu ya kurusha chembe ya mchanga wataitoa wapi?nasubiri Israel irushe hata chembe ya mchanga!
Iran kamlaza Netanyahu na viatu na mpaka sasa, hakuna myahudi mwenye wazo la kwenda kurudisha mashambulizi kwa Iran.Iran si kwamba hawana uwezo wa kujibu ila (kwa ushauri na uchambuzi yakinifu) wana options nyingi lakini zote ni mbaya.
Israeli na Marekani watamani sana Iran afanye mashambulizi ili wapate sababu ya kuanzisha vita kamili lakini Iran si wajinga hivyo kama aloyafanya Sadam ya kuishambulia Kuwait.
Hii aprove ni kwa sababu akishindwa atapewa slaha na na ulinzi wa meliShida israel mpaka akaombe approval white house ila Iran anaamua mwenyewe anatupia
Bado unalo swali mkuu?Haya kiko wapi 😂 una la kusema ndugu chambuzi Iran kawagonga tunasubiri ifutwe
Hujajibu swali badoBado unalo swali mkuu?