Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 13,114
- 27,591
Duh mkuuu ungekapa hata ya jero tu kumyima mtoto wa mtu vocha ni dhambi sana afu kumtangaza ni dhambi ya pili
weendezi kamakuhonga huwezi niachie mademu wangu humu nitawahonga mwenyewe🙁🙁Acheni utapeli bhna
Rika lako eeWatoto wa elfu 2000 wameingiaje hapo?
Hapn kwa kweli anafnya Kaz ajinunulie kwa mshahara wake khAAHahah we muunge gb kadhaa bana acha uduanzi wanawake mara tiktok mara insta fb mb hazikai lazima aombe za akiba
ahaa kumbe mkubwa mwenzangu😉😉Hayanihusu mimi sijazaliwa elfu 2! Ninawatetea tu hao madogo
Bando lake litakuwa mbs chache mfano mbs 300, hili hawezi kwenda kuperuzi insta vya kutosha au kuingia YouTube ila JF na Whatsapp anaweza kuwa active hata siku tatuHuu Ni utapeli bhna mtu ankusumbua naomba salio either vocha lkn ajabu Bado Yuko online na Yuko Muda wote Sasa salio la Kaz gani
Kuna bint kaniudh San Jana kaomba nikampoteza asbh Tena anataka nimtumie vocha na bado Yuko active Hadi HV Sasa
Nahisi huyo bint Yuko humu maana Ni member wa muda mrefu kuliko mm
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kamsemee Kwa mamako
Hapana! Binti yangu wa pili ndo kazaliwa elfu 2Rika lako ee
Hkuna kitu kule Ni ujinga mtupuBando lake litakuwa mbs chache mfano mbs 300, hili hawezi kwenda kuperuzi insta vya kutosha au kuingia YouTube ila JF na Whatsapp anaweza kuwa active hata siku tatu
Mnipe basi kitu saa 6 uwe mama mkweHapana! Binti yangu wa pili ndo kazaliwa elfu 2
Huwa tunakosanaga kwa ishu za vocha tu hataki kuliwa Wala kunifata nilipo nimlalleHuwa unazingua mkuu ,faragha
Usiniudhi sasa ili nikufikirie☺️Mnipe basi kitu saa 6 uwe mama mkwe
Mim najuwaga wee Ni mwaanmke piss kaliAisee wakuu moyo wangu umemdondokea Single Mama fulani anayeishi karibu na ninapoishi. Yaani kanichanganya hatari. Tayari nimeshamtongoza na mwelekeo sio mbaya. Kesho nitatoka nae Dinner jioni. Tafadhalini mnishauri ILA KATIKA USHAURI WENU SITATAKA KUONA MTU ANASEMA NIACHANE NA SINGLE MAMA WALA KAULI NYINGINE YENYE NIA OVU.
Wewe mnipe kukuudhi kupo tuUsiniudhi sasa ili nikufikirie☺️
Namjuwa vzr Ni single mam mmoja anajifanyaga piss sna alinikataga zamanin kaja kadhalishwa na wanyowa viduku Sasa Ni single mamaHuyo anaye kuomba unamjuwa??
Maana mimi naona wanawake wengi wanaokesha kwenye mitandao ni ombaomba wapiga vizinga,uwingo mwingi
Ova
Nitakukomoa mahariWewe mnipe kukuudhi kupo tu
Ahh mtupe tu apambane na haliNamjuwa vzr Ni single mam mmoja anajifanyaga piss sna alinikataga zamanin kaja kadhalishwa na wanyowa viduku Sasa Ni single mama
Tena?Nitakukomoa mahari