Kuna haja gani ya kuendelea kuwa Na rafiki wa namna hii?

kj75

JF-Expert Member
Feb 17, 2019
494
592
Habari zenu Wana jf

Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Mimi nilikuwa Na rafiki ambae kwa sasa nasema nilikuwa coz siion Kama ananifaa kuendelea kuwa rafiki yangu iko hivi Yule jamaa tumesoma wote o_ level tukiwa form one yeye alikuwa Sana Na uwezo wa kuongea ngeli c unajua Hizi shule zetu za kata Basi wakatugawa katika mikondo mitatu Basi maana walichagua random selection yaani unatamka moja anaefata mbili mwisho Tatu inaendelea hivyo hivyo mwisho wa siku waliosema Namba moja Hapa mbili hivyo hivyo Hadi Tatu tukawa magroup matatu Basi Mimi nilikuwa miongoni ya tuliotamka moja tukabaki darasani wale wengne wakapelekwa madarasa mengne Sasa huyu jamaa yangu yeye alitamka namba mbili ko akaenda mkondo B Basi bhana tukapiga shule Sasa Yule matokeo ya mwezi wa Tatu Ile midterm akaongoza akiwa Na wastani 96 kwa mkondo B ila Pia Mimi nikaongoza mkondo A nikiwa 94 Kuna jamaa mmoja C alikuwa na wastani 93 Sasa ukiweka kwa pamoja yeye jamaa Ndo alikuwa ameongoza kwa darasa Zima Basi tukapiga shule,

Kwa kuwa wote wawili tulikuwa tunatokea mbali Na shule ilitakiwa tupange ili tuwe jirani Na shule Basi tukakubaliana tuwaambie wazazi Basi tukawaambia wazazi kila mmoja wetu akaja Na jibu kuwa wamekubali Basi tukapanga chumba kimoja tunalipa 3000 kilikuwa hakina umeme Basi tukalipa miezi 6 tukaanza kusoma, Basi ikifka weekend kila mmoja anaenda kwao analeta dagaa, maharage,mahindi, Na pesa kidg kipindi hicho kanda ya ziwa dagaa sado moja wanauza 3000.


Mwezi wa sita matokeo yaliunganishwa yote Basi Mimi nikawa nimeongoza kwa ujumla yeye akawa wa pili,Yule jamaa Mimi nikamwambia twende bro wangu Yupo home amemaliza form six pcm atupige pind Kama unavyoonaa walimu hapa hakuna wa physics Na mathematics itatusaidia akasema Mimi naenda kusoma tuition mjini
Basi Na Mimi nikaenda home bro akanipiga pindi likizo ikaisha nikalud shule Yule huyu rafiki yangu nikamkuta geto Basi tukakaa tukapiga story akanipa za mjini Mimi nikampa za kwetu kijijin Basi tukaenda kushare vitu ambavyo kila mmoja alisoma wakati wa tuition basi tukaulizana maswali tukalala asubuhi hao shule Basi Yule kitendo Cha Mimi kufanya mitihan tu tukimaliza anakuja anasema pale umejazana Nini Mimi namwambia walimu wametukataza kujadili mitihan ambao tayar umefanya Na kukusanya Basi tujadili unaofata coz brother angu alinisihi nikiwa kwenye chumba Cha mitihan nitulie nisiwe Na papara Wala haraka nikitoka Hilo somo nipige chini Basi Yule jamaa akawa hapendi walimu wakigawa mitihan yeye Safar Hadi darasani kwangu oya umepata ngapi Sasa Mimi sikuwa Na tabia ya kuficha mitihan yangu akifika akicheki Kama nimemzid sura inabadilika Kama yeye kanizid utaona anatabasamu then anapiga story Hapo anajua Hilo somo akaongoza darasa Zima Basi matokeo yakitoka wakibandika yote kwa ujumla akiona yeye Ni wapili Basi home akukaliki yaani anakuwa mkali Sasa

Mimi nikaanza kumsoma tabia yake ilivyo Basi siku moja jamaa ake yeye wamesoma wote primary akaniambia wewe jamaa unawezaje kuishi Na Jonas ili Hali unamzid kitaaluma coz huyu jamaa hapend Mtu anaempa changamoto nikasema bwana Mimi sijui. Yeye masomo ya kiingereza, history, kiswahili alikuwa anaweza Sana ila ukija hesabu ilimshinda kabisa unaweza ukaona Mimi Nimepata 89 au 78 yeye Ana 49 au 42 Hapo

Kuna watu wengne kibao ila yeye hata akipata history 90 mimi siwez kukosa 84 au 86 Basi ikawa hivyo mwisho akapanga akawa Na geto lake Na Mimi kwangu material tunashare Basi form four tukahitimu Basi Mimi tukaagwa kwa graduation Basi Mimi nikipokea zawadi mbali mbali Na yeye coz wazazi Wake walikuwa wananifahamu Mimi pia wa kwangu walifahamu hivyo tukakaa pamoja tukala Basi tukabaki kumalizia mitihan ya mwisho Basi tukafanya tukaondoka shule kila Mtu kwao Sasa kimbembe kikaja baada ya matokeo kutoka Kwanza bro alinipigia simu kuwa matokeo yametoka nipe namba ya shule nikamtajia akasema poah akacheki akaniambia hakuna one Kuna 2 two Tatu Na Kuna 3 tano Hizo zingne Ni four Na Zero Mimi hazinihusu nikasema Basi Hizo two Tatu ni

Mimi jamaa Angu wa muda mrefu Na jamaa mmoja hivi Basi nikampa index namba yangu Na ya jamaa akasema poah akacheki akaniambia Nina two jamaa Angu Ana three Basi Mimi nikachaguliwa kwenda advance EGM yeye akaenda kusoma ualimu maalumu kufundisha nursery Basi Hivyo nikapiga nikamaliza six nikachaguliwa muzumbe Morogoro information technology mkopo ukazingua sikwenda Basi nikaingia kupambana kitaa Basi siku moja Yule jamaa hakuna kazi akasema kuwa twende Moro tukalime poah Mimi kwa kuwa Kuna jamaa Angu kule Na pikpik Hapa ninayo tutaenda Basi yeye Yupo Dodoma Basi Mimi nikamwambia nipo huku njombe njoo Hadi njombe akafika home nikamwambia wife kuwa huyu ni rafiki yangu yangu tumeschool wote Basi wife akachinja kuku tukala nikamwonesha chumba Cha kulala

Basi akalala Hadi asubuhi Basi akasema anaumwa hivyo hawezi kuunga Safar Basi nikamwambia apumzike Mimi nikajiandaa nikaenda ofisini kwangu baadae nikalud kwenda kumcheki aisee Hali imebadilika Basi nikamchukua kwenye pikpik yangu Hadi hospital akalazwa wakamtundikia madrip Basi siku Kama Tatu hivi akaruhusiwa kulud tukapanga

Safar ya yeye kwenda mlimba baadae Mimi naweka Mambo yangu sawa then nitakuja akasema Poah Basi nikamuuliza kutoka Hapa Hadi makambako Ni 12,000 kutoka makambako Hadi mlimba kwa treni 9800 jumla 21800 Kama Una 30,000 inatosha akasema Mimi kwa kuwa Una pikpik naomba niende nayo nikamuuliza Una leseni ya udereva maana Huo mraba Ni mkubwa lazima traffic wakung'ang'anie akasema natoboa Ila leseni Sina nikamwambia sikiliza wewe nenda Mimi nitakuja nayo mwenyewe maana najua sehem ambazo huwa wanakaa Hivyo hawatanisumbua kwa kuwa Nina leseni tofauti Na wewe akasema hapana Basi sikutaka nibishane nae Sana nikamwambia sikiliza toka

Hapa nenda Hadi makambako ukifika ipandishe kwenye gogo ili usiumie Sana Basi akasema Poah hela Hana ikanibid nichukue sh 45,000 nikamwambia weka mafuta Hadi makambako ukifika pale ongea Na Porter mmoja Bei gani kusafirisha pikpik muda Huo nimempa Hadi blue card Basi akawasha wese huyo way to mlimba basically amefika pale kusafirisha pikpik kwenye gogo wanasema 60k Basi akachuka option ya kuweka mafuta Na kwenda kwa pikpik Hapo Sasa inatakiwa either alud mjomba apitie stop lupembe au aende Hadi mafinga akatishe kwenda mlimba basi yeye akasema mbele mbele

Yao nyuma Kuna pancha Basi akapiga Safar akafika mafinga kabla hajachepuka pikpik ikapata pancha Basi akanicheki nikamtumia 15000 Basi akalud nyuma mafinga akaziba then akaona muda umeenda ikambd alale alisema alilala kwa stend Basi asubuh yake akafika kule kulikuwa Na Rafiki yangu ambae nimesoma nae advance nikamwambia huyo Ni

Kama Mimi hivyo Basi mtreat Kama vile unavyonitreat Mimi Basi jamaa poah mkuu haina shida Basi akatulia siku ya kwanza ila nilishamtahadhalisha kúwa kufanya boda boda ugenini Kuna changamoto yake akasema Yuko tayar kuzikabili nikamwambia go ahead Basi huyu jamaa Angu wa advance yeye kule Ni kwao hivyo Kuna geto alikuwa anatumia pale kwao kabla hajajenga Basi Ndo huwa tunafikia pale coz kule kwake amejenga chumba Na sebure kwa Hyo akaoneshwa kule kwao Na jamaa ingawa syo mbali basi siku ya kwanza kijiweni hakupata Mteja akalud akanicheki nikamwambia nilikuambia lkn coz Hyo njia watu wanaenda chisano Na Chita muda mwingi wanatumia bajaji au Hizo gari za kilamsa Hivyo kwa boda sidhani Basi akasema anajaribu siku inayofuata Na nyingne Kama biashara itakuwa mbaya ataacha Na kuingia kwenye kufyatua tofari Na kuziuza mbichi Basi siku iliyofuata kikachanganya siku Hyo akaenda chisano akachukua barmaid akapeleka kwao Na rafiki yangu Mimi Basi Yule jamaa kile kitendo kikamuuma akanicheki akaniambia nikmpigia jamaa akakana Basi nikamwambia ngoja nakuja mwenyewe Basi kweli nikaenda nilivyofika tu Basi kwa kuwa kule nilishaenda Zaid ya Mara mbili ko watu wananifahamu Hadi Nina kiwanja kule Basi washikaji wakaniambia kila kitu kumbe pikpik alishampa Mtu anampa marejesho kwangu anasema pikpik imepark


Basi nilivyofika siku nikakuta jamaa mmoja anapita Na pikpik yangu nikampiga mkono akasimama nikamwambia nipeleke sehem fulani Basi akanipeleka sikumwambia chochote Yule jamaa nikafika yeye akalud baadae kwa sababu nilichukua Namba akaja akanifata Hadi kijiweni Tena Basi nikaonana Na jamaa zangu tukapiga story Basi nikamuuliza

Yule jamaa Angu ambae yeye kule Ni mgeni kuwa Yule uliempa pikpik unamfahamu Na je umempa tangu lini?? Mbele ya huyo rafiki yangu mwingne ambae kule yeye Ni mwenyeji akajikanyaga kuwa Yule jamaa Hana shida alivyomwona tu nikasema mkuu wewe Una wiki mbili huku halaf tayar umemwona kuwa Hana shida au wewe ni shekhe Yaya???


Basi kuhus siku ameanza leo Yule jamaa akaacheka Basi nikatulia siku iliyofuata asubuh nikaingia kijiweni nikamkuta Yule jamaa tayar kashatinga pale nikamuuliza VP bhana nataka nilete pikpik Hapa Ila nimpe kijana VP nitapata kijana mwaminifu akasema utapata tu ok akasema pikpik gani nikamwambia sunlog cc150 akasema unapata tu

Boss Mimi mwenyewe natafuta Sana nikamwambia Na Hyo akasema ya jamaa mmoja hivi nikasema moyon tayar umejaa kwenye mtego nikamwambia jamaa yeye Yuko wapi Basi akasema Ni mgeni nikamuuliza toka amekupa Ina muda gani akasema Ana Kama wiki Na siku Basi sh ngapi kwa siku akasema 8000 Basi nikasema Poah nikalud home nikawakuta wamebeba vibao wao wanaita makombora wanaenda kukimbizi tofari Basi nimejaa panic ila jamaa hajui Basi nikachukua jembe nikaenda kulima site Basi nikaweka sawa nikaanza kununua tofari zilizochomwa Basi

Basi huyu jamaa Angu wa muda wote akasema Ana 70000 ila anahitaji 80000 achukue mchele kwa kule Bei Ni ndogo akienda kuuza Idodomya atapata faida kubwa Sana Hivyo kule family yake haijakaa sawa Basi akaomba nimpe Hyo then ataludisha Basi nikampa bhana Mimi sikutaka rafiki yangu aharibikiwe Basi nikampa tukaondoka tukaenda Hadi kwa

Yule jamaa wa pikpik tukaweka makubaliano Na Mimi mwenyewe Basi nikalud nyumbani asubuhi nikapigiwa simu kuwa Baba Angu mzazi amefariki Basi ikabid niondoke nimpigie wife awaandae watoto tuanze Safar ya kwenda ya kanda ya ziwa Na Mimi niondoke kuelekea huko huko Basi nikamwambia Yule jamaa afanye linalowezekana ili tofari zangu zile ambazo nilishanunua afanye mchakato azipeleke site Basi nikaondoka muda Huo nimempa 80,000 Basi nipo msibani Yule jamaa Angu mwenyeji akasema huyu jamaa ako ameenda kwa Yule boda amemwambia kuwa umepata matatzo Hivyo ampe hela ya wiki hii inayoisha leo Na kesho ili nimtumie Na Mimi nifanye mchakato niende msibani Basi Yule jamaa akampa laki moja Na elfu

Kumi mbili Basi akaenda kwa Mama ake Na rafiki yangu akachukua mchele akatoka SAA Kumi usiku akaondoka Sasa Hadi leo Hyo 80 Na Ile 112 hajawah kunipa hata kidg Na Sasa juzi Kati nikakuta amenitumia Chet chake Ety anaapply Mambo ya sensa nikamwambia wewe jamaa acha zalau Hapo Kuna haja ya kuwa Na rafiki wa namna Hyo?
 
Habari zenu Wana jf Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Mimi nilikuwa Na rafiki ambae kwa sasa nasema nilikuwa coz siion Kama ananifaa kuendelea kuwa rafiki yangu iko hivi Yule jamaa tumesoma wote o_ level tukiwa form one yeye alikuwa Sana Na uwezo wa kuongea ngeli c unajua Hizi shule zetu za kata Basi wakatugawa katika mikondo mitatu Basi maana walichagua random selection yaani unatamka moja anaefata mbili mwisho Tatu inaendelea hivyo hivyo mwisho wa siku waliosema Namba moja Hapa mbili hivyo hivyo Hadi Tatu tukawa magroup matatu Basi Mimi nilikuwa miongoni ya tuliotamka moja tukabaki darasani wale wengne wakapelekwa madarasa mengne Sasa huyu jamaa yangu yeye alitamka namba mbili ko akaenda mkondo B Basi bhana tukapiga shule Sasa Yule matokeo ya mwezi wa Tatu Ile midterm akaongoza akiwa Na wastani 96 kwa mkondo B ila Pia Mimi nikaongoza mkondo A nikiwa 94 Kuna jamaa mmoja C alikuwa na wastani 93 Sasa ukiweka kwa pamoja yeye jamaa Ndo alikuwa ameongoza kwa darasa Zima Basi tukapiga shule,kwa kuwa wote wawili tulikuwa tunatokea mbali Na shule ilitakiwa tupange ili tuwe jirani Na shule Basi tukakubaliana tuwaambie wazazi Basi tukawaambia wazazi kila mmoja wetu akaja Na jibu kuwa wamekubali Basi tukapanga chumba kimoja tunalipa 3000 kilikuwa hakina umeme Basi tukalipa miezi 6 tukaanza kusoma, Basi ikifka weekend kila mmoja anaenda kwao analeta dagaa, maharage,mahindi, Na pesa kidg kipindi hicho kanda ya ziwa dagaa sado moja wanauza 3000. Mwezi wa sita matokeo yaliunganishwa yote Basi Mimi nikawa nimeongoza kwa ujumla yeye akawa wa pili,Yule jamaa Mimi nikamwambia twende bro wangu Yupo home amemaliza form six pcm atupige pind Kama unavyoonaa walimu hapa hakuna wa physics Na mathematics itatusaidia akasema Mimi naenda kusoma tuition mjini
Basi Na Mimi nikaenda home bro akanipiga pindi likizo ikaisha nikalud shule Yule huyu rafiki yangu nikamkuta geto Basi tukakaa tukapiga story akanipa za mjini Mimi nikampa za kwetu kijijin Basi tukaenda kushare vitu ambavyo kila mmoja alisoma wakati wa tuition basi tukaulizana maswali tukalala asubuhi hao shule Basi Yule kitendo Cha Mimi kufanya mitihan tu tukimaliza anakuja anasema pale umejazana Nini Mimi namwambia walimu wametukataza kujadili mitihan ambao tayar umefanya Na kukusanya Basi tujadili unaofata coz brother angu alinisihi nikiwa kwenye chumba Cha mitihan nitulie nisiwe Na papara Wala haraka nikitoka Hilo somo nipige chini Basi Yule jamaa akawa hapendi walimu wakigawa mitihan yeye Safar Hadi darasani kwangu oya umepata ngapi Sasa Mimi sikuwa Na tabia ya kuficha mitihan yangu akifika akicheki Kama nimemzid sura inabadilika Kama yeye kanizid utaona anatabasamu then anapiga story Hapo anajua Hilo somo akaongoza darasa Zima Basi matokeo yakitoka wakibandika yote kwa ujumla akiona yeye Ni wapili Basi home akukaliki yaani anakuwa mkali Sasa Mimi nikaanza kumsoma tabia yake ilivyo Basi siku moja jamaa ake yeye wamesoma wote primary akaniambia wewe jamaa unawezaje kuishi Na Jonas ili Hali unamzid kitaaluma coz huyu jamaa hapend Mtu anaempa changamoto nikasema bwana Mimi sijui. Yeye masomo ya kiingereza, history, kiswahili alikuwa anaweza Sana ila ukija hesabu ilimshinda kabisa unaweza ukaona Mimi Nimepata 89 au 78 yeye Ana 49 au 42 Hapo Kuna watu wengne kibao ila yeye hata akipata history 90 mimi siwez kukosa 84 au 86 Basi ikawa hivyo mwisho akapanga akawa Na geto lake Na Mimi kwangu material tunashare Basi form four tukahitimu Basi Mimi tukaagwa kwa graduation Basi Mimi nikipokea zawadi mbali mbali Na yeye coz wazazi Wake walikuwa wananifahamu Mimi pia wa kwangu walifahamu hivyo tukakaa pamoja tukala Basi tukabaki kumalizia mitihan ya mwisho Basi tukafanya tukaondoka shule kila Mtu kwao Sasa kimbembe kikaja baada ya matokeo kutoka Kwanza bro alinipigia simu kuwa matokeo yametoka nipe namba ya shule nikamtajia akasema poah akacheki akaniambia hakuna one Kuna 2 two Tatu Na Kuna 3 tano Hizo zingne Ni four Na Zero Mimi hazinihusu nikasema Basi Hizo two Tatu ni Mimi jamaa Angu wa muda mrefu Na jamaa mmoja hivi Basi nikampa index namba yangu Na ya jamaa akasema poah akacheki akaniambia Nina two jamaa Angu Ana three Basi Mimi nikachaguliwa kwenda advance EGM yeye akaenda kusoma ualimu maalumu kufundisha nursery Basi Hivyo nikapiga nikamaliza six nikachaguliwa muzumbe Morogoro information technology mkopo ukazingua sikwenda Basi nikaingia kupambana kitaa Basi siku moja Yule jamaa hakuna kazi akasema kuwa twende Moro tukalime poah Mimi kwa kuwa Kuna jamaa Angu kule Na pikpik Hapa ninayo tutaenda Basi yeye Yupo Dodoma Basi Mimi nikamwambia nipo huku njombe njoo Hadi njombe akafika home nikamwambia wife kuwa huyu ni rafiki yangu yangu tumeschool wote Basi wife akachinja kuku tukala nikamwonesha chumba Cha kulala Basi akalala Hadi asubuhi Basi akasema anaumwa hivyo hawezi kuunga Safar Basi nikamwambia apumzike Mimi nikajiandaa nikaenda ofisini kwangu baadae nikalud kwenda kumcheki aisee Hali imebadilika Basi nikamchukua kwenye pikpik yangu Hadi hospital akalazwa wakamtundikia madrip Basi siku Kama Tatu hivi akaruhusiwa kulud tukapanga Safar ya yeye kwenda mlimba baadae Mimi naweka Mambo yangu sawa then nitakuja akasema Poah Basi nikamuuliza kutoka Hapa Hadi makambako Ni 12,000 kutoka makambako Hadi mlimba kwa treni 9800 jumla 21800 Kama Una 30,000 inatosha akasema Mimi kwa kuwa Una pikpik naomba niende nayo nikamuuliza Una leseni ya udereva maana Huo mraba Ni mkubwa lazima traffic wakung'ang'anie akasema natoboa Ila leseni Sina nikamwambia sikiliza wewe nenda Mimi nitakuja nayo mwenyewe maana najua sehem ambazo huwa wanakaa Hivyo hawatanisumbua kwa kuwa Nina leseni tofauti Na wewe akasema hapana Basi sikutaka nibishane nae Sana nikamwambia sikiliza toka Hapa nenda Hadi makambako ukifika ipandishe kwenye gogo ili usiumie Sana Basi akasema Poah hela Hana ikanibid nichukue sh 45,000 nikamwambia weka mafuta Hadi makambako ukifika pale ongea Na Porter mmoja Bei gani kusafirisha pikpik muda Huo nimempa Hadi blue card Basi akawasha wese huyo way to mlimba basically amefika pale kusafirisha pikpik kwenye gogo wanasema 60k Basi akachuka option ya kuweka mafuta Na kwenda kwa pikpik Hapo Sasa inatakiwa either alud mjomba apitie stop lupembe au aende Hadi mafinga akatishe kwenda mlimba basi yeye akasema mbele mbele Yao nyuma Kuna pancha Basi akapiga Safar akafika mafinga kabla hajachepuka pikpik ikapata pancha Basi akanicheki nikamtumia 15000 Basi akalud nyuma mafinga akaziba then akaona muda umeenda ikambd alale alisema alilala kwa stend Basi asubuh yake akafika kule kulikuwa Na Rafiki yangu ambae nimesoma nae advance nikamwambia huyo Ni Kama Mimi hivyo Basi mtreat Kama vile unavyonitreat Mimi Basi jamaa poah mkuu haina shida Basi akatulia siku ya kwanza ila nilishamtahadhalisha kúwa kufanya boda boda ugenini Kuna changamoto yake akasema Yuko tayar kuzikabili nikamwambia go ahead Basi huyu jamaa Angu wa advance yeye kule Ni kwao hivyo Kuna geto alikuwa anatumia pale kwao kabla hajajenga Basi Ndo huwa tunafikia pale coz kule kwake amejenga chumba Na sebure kwa Hyo akaoneshwa kule kwao Na jamaa ingawa syo mbali basi siku ya kwanza kijiweni hakupata Mteja akalud akanicheki nikamwambia nilikuambia lkn coz Hyo njia watu wanaenda chisano Na Chita muda mwingi wanatumia bajaji au Hizo gari za kilamsa Hivyo kwa boda sidhani Basi akasema anajaribu siku inayofuata Na nyingne Kama biashara itakuwa mbaya ataacha Na kuingia kwenye kufyatua tofari Na kuziuza mbichi Basi siku iliyofuata kikachanganya siku Hyo akaenda chisano akachukua barmaid akapeleka kwao Na rafiki yangu Mimi Basi Yule jamaa kile kitendo kikamuuma akanicheki akaniambia nikmpigia jamaa akakana Basi nikamwambia ngoja nakuja mwenyewe Basi kweli nikaenda nilivyofika tu Basi kwa kuwa kule nilishaenda Zaid ya Mara mbili ko watu wananifahamu Hadi Nina kiwanja kule Basi washikaji wakaniambia kila kitu kumbe pikpik alishampa Mtu anampa marejesho kwangu anasema pikpik imepark Basi nilivyofika siku nikakuta jamaa mmoja anapita Na pikpik yangu nikampiga mkono akasimama nikamwambia nipeleke sehem fulani Basi akanipeleka sikumwambia chochote Yule jamaa nikafika yeye akalud baadae kwa sababu nilichukua Namba akaja akanifata Hadi kijiweni Tena Basi nikaonana Na jamaa zangu tukapiga story Basi nikamuuliza Yule jamaa Angu ambae yeye kule Ni mgeni kuwa Yule uliempa pikpik unamfahamu Na je umempa tangu lini?? Mbele ya huyo rafiki yangu mwingne ambae kule yeye Ni mwenyeji akajikanyaga kuwa Yule jamaa Hana shida alivyomwona tu nikasema mkuu wewe Una wiki mbili huku halaf tayar umemwona kuwa Hana shida au wewe ni shekhe Yaya??? Basi kuhus siku ameanza leo Yule jamaa akaacheka Basi nikatulia siku iliyofuata asubuh nikaingia kijiweni nikamkuta Yule jamaa tayar kashatinga pale nikamuuliza VP bhana nataka nilete pikpik Hapa Ila nimpe kijana VP nitapata kijana mwaminifu akasema utapata tu ok akasema pikpik gani nikamwambia sunlog cc150 akasema unapata tu Boss Mimi mwenyewe natafuta Sana nikamwambia Na Hyo akasema ya jamaa mmoja hivi nikasema moyon tayar umejaa kwenye mtego nikamwambia jamaa yeye Yuko wapi Basi akasema Ni mgeni nikamuuliza toka amekupa Ina muda gani akasema Ana Kama wiki Na siku Basi sh ngapi kwa siku akasema 8000 Basi nikasema Poah nikalud home nikawakuta wamebeba vibao wao wanaita makombora wanaenda kukimbizi tofari Basi nimejaa panic ila jamaa hajui Basi nikachukua jembe nikaenda kulima site Basi nikaweka sawa nikaanza kununua tofari zilizochomwa Basi Basi huyu jamaa Angu wa muda wote akasema Ana 70000 ila anahitaji 80000 achukue mchele kwa kule Bei Ni ndogo akienda kuuza Idodomya atapata faida kubwa Sana Hivyo kule family yake haijakaa sawa Basi akaomba nimpe Hyo then ataludisha Basi nikampa bhana Mimi sikutaka rafiki yangu aharibikiwe Basi nikampa tukaondoka tukaenda Hadi kwa Yule jamaa wa pikpik tukaweka makubaliano Na Mimi mwenyewe Basi nikalud nyumbani asubuhi nikapigiwa simu kuwa Baba Angu mzazi amefariki Basi ikabid niondoke nimpigie wife awaandae watoto tuanze Safar ya kwenda ya kanda ya ziwa Na Mimi niondoke kuelekea huko huko Basi nikamwambia Yule jamaa afanye linalowezekana ili tofari zangu zile ambazo nilishanunua afanye mchakato azipeleke site Basi nikaondoka muda Huo nimempa 80,000 Basi nipo msibani Yule jamaa Angu mwenyeji akasema huyu jamaa ako ameenda kwa Yule boda amemwambia kuwa umepata matatzo Hivyo ampe hela ya wiki hii inayoisha leo Na kesho ili nimtumie Na Mimi nifanye mchakato niende msibani Basi Yule jamaa akampa laki moja Na elfu Kumi mbili Basi akaenda kwa Mama ake Na rafiki yangu akachukua mchele akatoka SAA Kumi usiku akaondoka Sasa Hadi leo Hyo 80 Na Ile 112 hajawah kunipa hata kidg Na Sasa juzi Kati nikakuta amenitumia Chet chake Ety anaapply Mambo ya sensa nikamwambia wewe jamaa acha zalau Hapo Kuna haja ya kuwa Na rafiki wa namna Hyo?
Kuwa nae tu Cha msingi ushamjua usifanye nae deals za hela hakika hatakusumbua.
 
Habari zenu Wana jf Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Mimi nilikuwa Na rafiki ambae kwa sasa nasema nilikuwa coz siion Kama ananifaa kuendelea kuwa rafiki yangu iko hivi Yule jamaa tumesoma wote o_ level tukiwa form one yeye alikuwa Sana Na uwezo wa kuongea ngeli c unajua Hizi shule zetu za kata Basi wakatugawa katika mikondo mitatu Basi maana walichagua random selection yaani unatamka moja anaefata mbili mwisho Tatu inaendelea hivyo hivyo mwisho wa siku waliosema Namba moja Hapa mbili hivyo hivyo Hadi Tatu tukawa magroup matatu Basi Mimi nilikuwa miongoni ya tuliotamka moja tukabaki darasani wale wengne wakapelekwa madarasa mengne Sasa huyu jamaa yangu yeye alitamka namba mbili ko akaenda mkondo B Basi bhana tukapiga shule Sasa Yule matokeo ya mwezi wa Tatu Ile midterm akaongoza akiwa Na wastani 96 kwa mkondo B ila Pia Mimi nikaongoza mkondo A nikiwa 94 Kuna jamaa mmoja C alikuwa na wastani 93 Sasa ukiweka kwa pamoja yeye jamaa Ndo alikuwa ameongoza kwa darasa Zima Basi tukapiga shule,kwa kuwa wote wawili tulikuwa tunatokea mbali Na shule ilitakiwa tupange ili tuwe jirani Na shule Basi tukakubaliana tuwaambie wazazi Basi tukawaambia wazazi kila mmoja wetu akaja Na jibu kuwa wamekubali Basi tukapanga chumba kimoja tunalipa 3000 kilikuwa hakina umeme Basi tukalipa miezi 6 tukaanza kusoma, Basi ikifka weekend kila mmoja anaenda kwao analeta dagaa, maharage,mahindi, Na pesa kidg kipindi hicho kanda ya ziwa dagaa sado moja wanauza 3000. Mwezi wa sita matokeo yaliunganishwa yote Basi Mimi nikawa nimeongoza kwa ujumla yeye akawa wa pili,Yule jamaa Mimi nikamwambia twende bro wangu Yupo home amemaliza form six pcm atupige pind Kama unavyoonaa walimu hapa hakuna wa physics Na mathematics itatusaidia akasema Mimi naenda kusoma tuition mjini
Basi Na Mimi nikaenda home bro akanipiga pindi likizo ikaisha nikalud shule Yule huyu rafiki yangu nikamkuta geto Basi tukakaa tukapiga story akanipa za mjini Mimi nikampa za kwetu kijijin Basi tukaenda kushare vitu ambavyo kila mmoja alisoma wakati wa tuition basi tukaulizana maswali tukalala asubuhi hao shule Basi Yule kitendo Cha Mimi kufanya mitihan tu tukimaliza anakuja anasema pale umejazana Nini Mimi namwambia walimu wametukataza kujadili mitihan ambao tayar umefanya Na kukusanya Basi tujadili unaofata coz brother angu alinisihi nikiwa kwenye chumba Cha mitihan nitulie nisiwe Na papara Wala haraka nikitoka Hilo somo nipige chini Basi Yule jamaa akawa hapendi walimu wakigawa mitihan yeye Safar Hadi darasani kwangu oya umepata ngapi Sasa Mimi sikuwa Na tabia ya kuficha mitihan yangu akifika akicheki Kama nimemzid sura inabadilika Kama yeye kanizid utaona anatabasamu then anapiga story Hapo anajua Hilo somo akaongoza darasa Zima Basi matokeo yakitoka wakibandika yote kwa ujumla akiona yeye Ni wapili Basi home akukaliki yaani anakuwa mkali Sasa Mimi nikaanza kumsoma tabia yake ilivyo Basi siku moja jamaa ake yeye wamesoma wote primary akaniambia wewe jamaa unawezaje kuishi Na Jonas ili Hali unamzid kitaaluma coz huyu jamaa hapend Mtu anaempa changamoto nikasema bwana Mimi sijui. Yeye masomo ya kiingereza, history, kiswahili alikuwa anaweza Sana ila ukija hesabu ilimshinda kabisa unaweza ukaona Mimi Nimepata 89 au 78 yeye Ana 49 au 42 Hapo Kuna watu wengne kibao ila yeye hata akipata history 90 mimi siwez kukosa 84 au 86 Basi ikawa hivyo mwisho akapanga akawa Na geto lake Na Mimi kwangu material tunashare Basi form four tukahitimu Basi Mimi tukaagwa kwa graduation Basi Mimi nikipokea zawadi mbali mbali Na yeye coz wazazi Wake walikuwa wananifahamu Mimi pia wa kwangu walifahamu hivyo tukakaa pamoja tukala Basi tukabaki kumalizia mitihan ya mwisho Basi tukafanya tukaondoka shule kila Mtu kwao Sasa kimbembe kikaja baada ya matokeo kutoka Kwanza bro alinipigia simu kuwa matokeo yametoka nipe namba ya shule nikamtajia akasema poah akacheki akaniambia hakuna one Kuna 2 two Tatu Na Kuna 3 tano Hizo zingne Ni four Na Zero Mimi hazinihusu nikasema Basi Hizo two Tatu ni Mimi jamaa Angu wa muda mrefu Na jamaa mmoja hivi Basi nikampa index namba yangu Na ya jamaa akasema poah akacheki akaniambia Nina two jamaa Angu Ana three Basi Mimi nikachaguliwa kwenda advance EGM yeye akaenda kusoma ualimu maalumu kufundisha nursery Basi Hivyo nikapiga nikamaliza six nikachaguliwa muzumbe Morogoro information technology mkopo ukazingua sikwenda Basi nikaingia kupambana kitaa Basi siku moja Yule jamaa hakuna kazi akasema kuwa twende Moro tukalime poah Mimi kwa kuwa Kuna jamaa Angu kule Na pikpik Hapa ninayo tutaenda Basi yeye Yupo Dodoma Basi Mimi nikamwambia nipo huku njombe njoo Hadi njombe akafika home nikamwambia wife kuwa huyu ni rafiki yangu yangu tumeschool wote Basi wife akachinja kuku tukala nikamwonesha chumba Cha kulala Basi akalala Hadi asubuhi Basi akasema anaumwa hivyo hawezi kuunga Safar Basi nikamwambia apumzike Mimi nikajiandaa nikaenda ofisini kwangu baadae nikalud kwenda kumcheki aisee Hali imebadilika Basi nikamchukua kwenye pikpik yangu Hadi hospital akalazwa wakamtundikia madrip Basi siku Kama Tatu hivi akaruhusiwa kulud tukapanga Safar ya yeye kwenda mlimba baadae Mimi naweka Mambo yangu sawa then nitakuja akasema Poah Basi nikamuuliza kutoka Hapa Hadi makambako Ni 12,000 kutoka makambako Hadi mlimba kwa treni 9800 jumla 21800 Kama Una 30,000 inatosha akasema Mimi kwa kuwa Una pikpik naomba niende nayo nikamuuliza Una leseni ya udereva maana Huo mraba Ni mkubwa lazima traffic wakung'ang'anie akasema natoboa Ila leseni Sina nikamwambia sikiliza wewe nenda Mimi nitakuja nayo mwenyewe maana najua sehem ambazo huwa wanakaa Hivyo hawatanisumbua kwa kuwa Nina leseni tofauti Na wewe akasema hapana Basi sikutaka nibishane nae Sana nikamwambia sikiliza toka Hapa nenda Hadi makambako ukifika ipandishe kwenye gogo ili usiumie Sana Basi akasema Poah hela Hana ikanibid nichukue sh 45,000 nikamwambia weka mafuta Hadi makambako ukifika pale ongea Na Porter mmoja Bei gani kusafirisha pikpik muda Huo nimempa Hadi blue card Basi akawasha wese huyo way to mlimba basically amefika pale kusafirisha pikpik kwenye gogo wanasema 60k Basi akachuka option ya kuweka mafuta Na kwenda kwa pikpik Hapo Sasa inatakiwa either alud mjomba apitie stop lupembe au aende Hadi mafinga akatishe kwenda mlimba basi yeye akasema mbele mbele Yao nyuma Kuna pancha Basi akapiga Safar akafika mafinga kabla hajachepuka pikpik ikapata pancha Basi akanicheki nikamtumia 15000 Basi akalud nyuma mafinga akaziba then akaona muda umeenda ikambd alale alisema alilala kwa stend Basi asubuh yake akafika kule kulikuwa Na Rafiki yangu ambae nimesoma nae advance nikamwambia huyo Ni Kama Mimi hivyo Basi mtreat Kama vile unavyonitreat Mimi Basi jamaa poah mkuu haina shida Basi akatulia siku ya kwanza ila nilishamtahadhalisha kúwa kufanya boda boda ugenini Kuna changamoto yake akasema Yuko tayar kuzikabili nikamwambia go ahead Basi huyu jamaa Angu wa advance yeye kule Ni kwao hivyo Kuna geto alikuwa anatumia pale kwao kabla hajajenga Basi Ndo huwa tunafikia pale coz kule kwake amejenga chumba Na sebure kwa Hyo akaoneshwa kule kwao Na jamaa ingawa syo mbali basi siku ya kwanza kijiweni hakupata Mteja akalud akanicheki nikamwambia nilikuambia lkn coz Hyo njia watu wanaenda chisano Na Chita muda mwingi wanatumia bajaji au Hizo gari za kilamsa Hivyo kwa boda sidhani Basi akasema anajaribu siku inayofuata Na nyingne Kama biashara itakuwa mbaya ataacha Na kuingia kwenye kufyatua tofari Na kuziuza mbichi Basi siku iliyofuata kikachanganya siku Hyo akaenda chisano akachukua barmaid akapeleka kwao Na rafiki yangu Mimi Basi Yule jamaa kile kitendo kikamuuma akanicheki akaniambia nikmpigia jamaa akakana Basi nikamwambia ngoja nakuja mwenyewe Basi kweli nikaenda nilivyofika tu Basi kwa kuwa kule nilishaenda Zaid ya Mara mbili ko watu wananifahamu Hadi Nina kiwanja kule Basi washikaji wakaniambia kila kitu kumbe pikpik alishampa Mtu anampa marejesho kwangu anasema pikpik imepark Basi nilivyofika siku nikakuta jamaa mmoja anapita Na pikpik yangu nikampiga mkono akasimama nikamwambia nipeleke sehem fulani Basi akanipeleka sikumwambia chochote Yule jamaa nikafika yeye akalud baadae kwa sababu nilichukua Namba akaja akanifata Hadi kijiweni Tena Basi nikaonana Na jamaa zangu tukapiga story Basi nikamuuliza Yule jamaa Angu ambae yeye kule Ni mgeni kuwa Yule uliempa pikpik unamfahamu Na je umempa tangu lini?? Mbele ya huyo rafiki yangu mwingne ambae kule yeye Ni mwenyeji akajikanyaga kuwa Yule jamaa Hana shida alivyomwona tu nikasema mkuu wewe Una wiki mbili huku halaf tayar umemwona kuwa Hana shida au wewe ni shekhe Yaya??? Basi kuhus siku ameanza leo Yule jamaa akaacheka Basi nikatulia siku iliyofuata asubuh nikaingia kijiweni nikamkuta Yule jamaa tayar kashatinga pale nikamuuliza VP bhana nataka nilete pikpik Hapa Ila nimpe kijana VP nitapata kijana mwaminifu akasema utapata tu ok akasema pikpik gani nikamwambia sunlog cc150 akasema unapata tu Boss Mimi mwenyewe natafuta Sana nikamwambia Na Hyo akasema ya jamaa mmoja hivi nikasema moyon tayar umejaa kwenye mtego nikamwambia jamaa yeye Yuko wapi Basi akasema Ni mgeni nikamuuliza toka amekupa Ina muda gani akasema Ana Kama wiki Na siku Basi sh ngapi kwa siku akasema 8000 Basi nikasema Poah nikalud home nikawakuta wamebeba vibao wao wanaita makombora wanaenda kukimbizi tofari Basi nimejaa panic ila jamaa hajui Basi nikachukua jembe nikaenda kulima site Basi nikaweka sawa nikaanza kununua tofari zilizochomwa Basi Basi huyu jamaa Angu wa muda wote akasema Ana 70000 ila anahitaji 80000 achukue mchele kwa kule Bei Ni ndogo akienda kuuza Idodomya atapata faida kubwa Sana Hivyo kule family yake haijakaa sawa Basi akaomba nimpe Hyo then ataludisha Basi nikampa bhana Mimi sikutaka rafiki yangu aharibikiwe Basi nikampa tukaondoka tukaenda Hadi kwa Yule jamaa wa pikpik tukaweka makubaliano Na Mimi mwenyewe Basi nikalud nyumbani asubuhi nikapigiwa simu kuwa Baba Angu mzazi amefariki Basi ikabid niondoke nimpigie wife awaandae watoto tuanze Safar ya kwenda ya kanda ya ziwa Na Mimi niondoke kuelekea huko huko Basi nikamwambia Yule jamaa afanye linalowezekana ili tofari zangu zile ambazo nilishanunua afanye mchakato azipeleke site Basi nikaondoka muda Huo nimempa 80,000 Basi nipo msibani Yule jamaa Angu mwenyeji akasema huyu jamaa ako ameenda kwa Yule boda amemwambia kuwa umepata matatzo Hivyo ampe hela ya wiki hii inayoisha leo Na kesho ili nimtumie Na Mimi nifanye mchakato niende msibani Basi Yule jamaa akampa laki moja Na elfu Kumi mbili Basi akaenda kwa Mama ake Na rafiki yangu akachukua mchele akatoka SAA Kumi usiku akaondoka Sasa Hadi leo Hyo 80 Na Ile 112 hajawah kunipa hata kidg Na Sasa juzi Kati nikakuta amenitumia Chet chake Ety anaapply Mambo ya sensa nikamwambia wewe jamaa acha zalau Hapo Kuna haja ya kuwa Na rafiki wa namna Hyo?
Barua Ndefu Kama Hii - Mariam Ba

Sentensi Ndefu Kama Hii - kj75
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Habari zenu Wana jf Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Mimi nilikuwa Na rafiki ambae kwa sasa nasema nilikuwa coz siion Kama ananifaa kuendelea kuwa rafiki yangu iko hivi Yule jamaa tumesoma wote o_ level tukiwa form one yeye alikuwa Sana Na uwezo wa kuongea ngeli c unajua Hizi shule zetu za kata Basi wakatugawa katika mikondo mitatu Basi maana walichagua random selection yaani unatamka moja anaefata mbili mwisho Tatu inaendelea hivyo hivyo mwisho wa siku waliosema Namba moja Hapa mbili hivyo hivyo Hadi Tatu tukawa magroup matatu Basi Mimi nilikuwa miongoni ya tuliotamka moja tukabaki darasani wale wengne wakapelekwa madarasa mengne Sasa huyu jamaa yangu yeye alitamka namba mbili ko akaenda mkondo B Basi bhana tukapiga shule Sasa Yule matokeo ya mwezi wa Tatu Ile midterm akaongoza akiwa Na wastani 96 kwa mkondo B ila Pia Mimi nikaongoza mkondo A nikiwa 94 Kuna jamaa mmoja C alikuwa na wastani 93 Sasa ukiweka kwa pamoja yeye jamaa Ndo alikuwa ameongoza kwa darasa Zima Basi tukapiga shule,kwa kuwa wote wawili tulikuwa tunatokea mbali Na shule ilitakiwa tupange ili tuwe jirani Na shule Basi tukakubaliana tuwaambie wazazi Basi tukawaambia wazazi kila mmoja wetu akaja Na jibu kuwa wamekubali Basi tukapanga chumba kimoja tunalipa 3000 kilikuwa hakina umeme Basi tukalipa miezi 6 tukaanza kusoma, Basi ikifka weekend kila mmoja anaenda kwao analeta dagaa, maharage,mahindi, Na pesa kidg kipindi hicho kanda ya ziwa dagaa sado moja wanauza 3000. Mwezi wa sita matokeo yaliunganishwa yote Basi Mimi nikawa nimeongoza kwa ujumla yeye akawa wa pili,Yule jamaa Mimi nikamwambia twende bro wangu Yupo home amemaliza form six pcm atupige pind Kama unavyoonaa walimu hapa hakuna wa physics Na mathematics itatusaidia akasema Mimi naenda kusoma tuition mjini
Basi Na Mimi nikaenda home bro akanipiga pindi likizo ikaisha nikalud shule Yule huyu rafiki yangu nikamkuta geto Basi tukakaa tukapiga story akanipa za mjini Mimi nikampa za kwetu kijijin Basi tukaenda kushare vitu ambavyo kila mmoja alisoma wakati wa tuition basi tukaulizana maswali tukalala asubuhi hao shule Basi Yule kitendo Cha Mimi kufanya mitihan tu tukimaliza anakuja anasema pale umejazana Nini Mimi namwambia walimu wametukataza kujadili mitihan ambao tayar umefanya Na kukusanya Basi tujadili unaofata coz brother angu alinisihi nikiwa kwenye chumba Cha mitihan nitulie nisiwe Na papara Wala haraka nikitoka Hilo somo nipige chini Basi Yule jamaa akawa hapendi walimu wakigawa mitihan yeye Safar Hadi darasani kwangu oya umepata ngapi Sasa Mimi sikuwa Na tabia ya kuficha mitihan yangu akifika akicheki Kama nimemzid sura inabadilika Kama yeye kanizid utaona anatabasamu then anapiga story Hapo anajua Hilo somo akaongoza darasa Zima Basi matokeo yakitoka wakibandika yote kwa ujumla akiona yeye Ni wapili Basi home akukaliki yaani anakuwa mkali Sasa Mimi nikaanza kumsoma tabia yake ilivyo Basi siku moja jamaa ake yeye wamesoma wote primary akaniambia wewe jamaa unawezaje kuishi Na Jonas ili Hali unamzid kitaaluma coz huyu jamaa hapend Mtu anaempa changamoto nikasema bwana Mimi sijui. Yeye masomo ya kiingereza, history, kiswahili alikuwa anaweza Sana ila ukija hesabu ilimshinda kabisa unaweza ukaona Mimi Nimepata 89 au 78 yeye Ana 49 au 42 Hapo Kuna watu wengne kibao ila yeye hata akipata history 90 mimi siwez kukosa 84 au 86 Basi ikawa hivyo mwisho akapanga akawa Na geto lake Na Mimi kwangu material tunashare Basi form four tukahitimu Basi Mimi tukaagwa kwa graduation Basi Mimi nikipokea zawadi mbali mbali Na yeye coz wazazi Wake walikuwa wananifahamu Mimi pia wa kwangu walifahamu hivyo tukakaa pamoja tukala Basi tukabaki kumalizia mitihan ya mwisho Basi tukafanya tukaondoka shule kila Mtu kwao Sasa kimbembe kikaja baada ya matokeo kutoka Kwanza bro alinipigia simu kuwa matokeo yametoka nipe namba ya shule nikamtajia akasema poah akacheki akaniambia hakuna one Kuna 2 two Tatu Na Kuna 3 tano Hizo zingne Ni four Na Zero Mimi hazinihusu nikasema Basi Hizo two Tatu ni Mimi jamaa Angu wa muda mrefu Na jamaa mmoja hivi Basi nikampa index namba yangu Na ya jamaa akasema poah akacheki akaniambia Nina two jamaa Angu Ana three Basi Mimi nikachaguliwa kwenda advance EGM yeye akaenda kusoma ualimu maalumu kufundisha nursery Basi Hivyo nikapiga nikamaliza six nikachaguliwa muzumbe Morogoro information technology mkopo ukazingua sikwenda Basi nikaingia kupambana kitaa Basi siku moja Yule jamaa hakuna kazi akasema kuwa twende Moro tukalime poah Mimi kwa kuwa Kuna jamaa Angu kule Na pikpik Hapa ninayo tutaenda Basi yeye Yupo Dodoma Basi Mimi nikamwambia nipo huku njombe njoo Hadi njombe akafika home nikamwambia wife kuwa huyu ni rafiki yangu yangu tumeschool wote Basi wife akachinja kuku tukala nikamwonesha chumba Cha kulala Basi akalala Hadi asubuhi Basi akasema anaumwa hivyo hawezi kuunga Safar Basi nikamwambia apumzike Mimi nikajiandaa nikaenda ofisini kwangu baadae nikalud kwenda kumcheki aisee Hali imebadilika Basi nikamchukua kwenye pikpik yangu Hadi hospital akalazwa wakamtundikia madrip Basi siku Kama Tatu hivi akaruhusiwa kulud tukapanga Safar ya yeye kwenda mlimba baadae Mimi naweka Mambo yangu sawa then nitakuja akasema Poah Basi nikamuuliza kutoka Hapa Hadi makambako Ni 12,000 kutoka makambako Hadi mlimba kwa treni 9800 jumla 21800 Kama Una 30,000 inatosha akasema Mimi kwa kuwa Una pikpik naomba niende nayo nikamuuliza Una leseni ya udereva maana Huo mraba Ni mkubwa lazima traffic wakung'ang'anie akasema natoboa Ila leseni Sina nikamwambia sikiliza wewe nenda Mimi nitakuja nayo mwenyewe maana najua sehem ambazo huwa wanakaa Hivyo hawatanisumbua kwa kuwa Nina leseni tofauti Na wewe akasema hapana Basi sikutaka nibishane nae Sana nikamwambia sikiliza toka Hapa nenda Hadi makambako ukifika ipandishe kwenye gogo ili usiumie Sana Basi akasema Poah hela Hana ikanibid nichukue sh 45,000 nikamwambia weka mafuta Hadi makambako ukifika pale ongea Na Porter mmoja Bei gani kusafirisha pikpik muda Huo nimempa Hadi blue card Basi akawasha wese huyo way to mlimba basically amefika pale kusafirisha pikpik kwenye gogo wanasema 60k Basi akachuka option ya kuweka mafuta Na kwenda kwa pikpik Hapo Sasa inatakiwa either alud mjomba apitie stop lupembe au aende Hadi mafinga akatishe kwenda mlimba basi yeye akasema mbele mbele Yao nyuma Kuna pancha Basi akapiga Safar akafika mafinga kabla hajachepuka pikpik ikapata pancha Basi akanicheki nikamtumia 15000 Basi akalud nyuma mafinga akaziba then akaona muda umeenda ikambd alale alisema alilala kwa stend Basi asubuh yake akafika kule kulikuwa Na Rafiki yangu ambae nimesoma nae advance nikamwambia huyo Ni Kama Mimi hivyo Basi mtreat Kama vile unavyonitreat Mimi Basi jamaa poah mkuu haina shida Basi akatulia siku ya kwanza ila nilishamtahadhalisha kúwa kufanya boda boda ugenini Kuna changamoto yake akasema Yuko tayar kuzikabili nikamwambia go ahead Basi huyu jamaa Angu wa advance yeye kule Ni kwao hivyo Kuna geto alikuwa anatumia pale kwao kabla hajajenga Basi Ndo huwa tunafikia pale coz kule kwake amejenga chumba Na sebure kwa Hyo akaoneshwa kule kwao Na jamaa ingawa syo mbali basi siku ya kwanza kijiweni hakupata Mteja akalud akanicheki nikamwambia nilikuambia lkn coz Hyo njia watu wanaenda chisano Na Chita muda mwingi wanatumia bajaji au Hizo gari za kilamsa Hivyo kwa boda sidhani Basi akasema anajaribu siku inayofuata Na nyingne Kama biashara itakuwa mbaya ataacha Na kuingia kwenye kufyatua tofari Na kuziuza mbichi Basi siku iliyofuata kikachanganya siku Hyo akaenda chisano akachukua barmaid akapeleka kwao Na rafiki yangu Mimi Basi Yule jamaa kile kitendo kikamuuma akanicheki akaniambia nikmpigia jamaa akakana Basi nikamwambia ngoja nakuja mwenyewe Basi kweli nikaenda nilivyofika tu Basi kwa kuwa kule nilishaenda Zaid ya Mara mbili ko watu wananifahamu Hadi Nina kiwanja kule Basi washikaji wakaniambia kila kitu kumbe pikpik alishampa Mtu anampa marejesho kwangu anasema pikpik imepark Basi nilivyofika siku nikakuta jamaa mmoja anapita Na pikpik yangu nikampiga mkono akasimama nikamwambia nipeleke sehem fulani Basi akanipeleka sikumwambia chochote Yule jamaa nikafika yeye akalud baadae kwa sababu nilichukua Namba akaja akanifata Hadi kijiweni Tena Basi nikaonana Na jamaa zangu tukapiga story Basi nikamuuliza Yule jamaa Angu ambae yeye kule Ni mgeni kuwa Yule uliempa pikpik unamfahamu Na je umempa tangu lini?? Mbele ya huyo rafiki yangu mwingne ambae kule yeye Ni mwenyeji akajikanyaga kuwa Yule jamaa Hana shida alivyomwona tu nikasema mkuu wewe Una wiki mbili huku halaf tayar umemwona kuwa Hana shida au wewe ni shekhe Yaya??? Basi kuhus siku ameanza leo Yule jamaa akaacheka Basi nikatulia siku iliyofuata asubuh nikaingia kijiweni nikamkuta Yule jamaa tayar kashatinga pale nikamuuliza VP bhana nataka nilete pikpik Hapa Ila nimpe kijana VP nitapata kijana mwaminifu akasema utapata tu ok akasema pikpik gani nikamwambia sunlog cc150 akasema unapata tu Boss Mimi mwenyewe natafuta Sana nikamwambia Na Hyo akasema ya jamaa mmoja hivi nikasema moyon tayar umejaa kwenye mtego nikamwambia jamaa yeye Yuko wapi Basi akasema Ni mgeni nikamuuliza toka amekupa Ina muda gani akasema Ana Kama wiki Na siku Basi sh ngapi kwa siku akasema 8000 Basi nikasema Poah nikalud home nikawakuta wamebeba vibao wao wanaita makombora wanaenda kukimbizi tofari Basi nimejaa panic ila jamaa hajui Basi nikachukua jembe nikaenda kulima site Basi nikaweka sawa nikaanza kununua tofari zilizochomwa Basi Basi huyu jamaa Angu wa muda wote akasema Ana 70000 ila anahitaji 80000 achukue mchele kwa kule Bei Ni ndogo akienda kuuza Idodomya atapata faida kubwa Sana Hivyo kule family yake haijakaa sawa Basi akaomba nimpe Hyo then ataludisha Basi nikampa bhana Mimi sikutaka rafiki yangu aharibikiwe Basi nikampa tukaondoka tukaenda Hadi kwa Yule jamaa wa pikpik tukaweka makubaliano Na Mimi mwenyewe Basi nikalud nyumbani asubuhi nikapigiwa simu kuwa Baba Angu mzazi amefariki Basi ikabid niondoke nimpigie wife awaandae watoto tuanze Safar ya kwenda ya kanda ya ziwa Na Mimi niondoke kuelekea huko huko Basi nikamwambia Yule jamaa afanye linalowezekana ili tofari zangu zile ambazo nilishanunua afanye mchakato azipeleke site Basi nikaondoka muda Huo nimempa 80,000 Basi nipo msibani Yule jamaa Angu mwenyeji akasema huyu jamaa ako ameenda kwa Yule boda amemwambia kuwa umepata matatzo Hivyo ampe hela ya wiki hii inayoisha leo Na kesho ili nimtumie Na Mimi nifanye mchakato niende msibani Basi Yule jamaa akampa laki moja Na elfu Kumi mbili Basi akaenda kwa Mama ake Na rafiki yangu akachukua mchele akatoka SAA Kumi usiku akaondoka Sasa Hadi leo Hyo 80 Na Ile 112 hajawah kunipa hata kidg Na Sasa juzi Kati nikakuta amenitumia Chet chake Ety anaapply Mambo ya sensa nikamwambia wewe jamaa acha zalau Hapo Kuna haja ya kuwa Na rafiki wa namna Hyo?
Duh! hata kama hukuwa mzuri kwenye somo la Kiswahili, sio kwa uandishi huu.
 
Too long
Habari zenu Wana jf Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Mimi nilikuwa Na rafiki ambae kwa sasa nasema nilikuwa coz siion Kama ananifaa kuendelea kuwa rafiki yangu iko hivi Yule jamaa tumesoma wote o_ level tukiwa form one yeye alikuwa Sana Na uwezo wa kuongea ngeli c unajua Hizi shule zetu za kata Basi wakatugawa katika mikondo mitatu Basi maana walichagua random selection yaani unatamka moja anaefata mbili mwisho Tatu inaendelea hivyo hivyo mwisho wa siku waliosema Namba moja Hapa mbili hivyo hivyo Hadi Tatu tukawa magroup matatu Basi Mimi nilikuwa miongoni ya tuliotamka moja tukabaki darasani wale wengne wakapelekwa madarasa mengne Sasa huyu jamaa yangu yeye alitamka namba mbili ko akaenda mkondo B Basi bhana tukapiga shule Sasa Yule matokeo ya mwezi wa Tatu Ile midterm akaongoza akiwa Na wastani 96 kwa mkondo B ila Pia Mimi nikaongoza mkondo A nikiwa 94 Kuna jamaa mmoja C alikuwa na wastani 93 Sasa ukiweka kwa pamoja yeye jamaa Ndo alikuwa ameongoza kwa darasa Zima Basi tukapiga shule,kwa kuwa wote wawili tulikuwa tunatokea mbali Na shule ilitakiwa tupange ili tuwe jirani Na shule Basi tukakubaliana tuwaambie wazazi Basi tukawaambia wazazi kila mmoja wetu akaja Na jibu kuwa wamekubali Basi tukapanga chumba kimoja tunalipa 3000 kilikuwa hakina umeme Basi tukalipa miezi 6 tukaanza kusoma, Basi ikifka weekend kila mmoja anaenda kwao analeta dagaa, maharage,mahindi, Na pesa kidg kipindi hicho kanda ya ziwa dagaa sado moja wanauza 3000. Mwezi wa sita matokeo yaliunganishwa yote Basi Mimi nikawa nimeongoza kwa ujumla yeye akawa wa pili,Yule jamaa Mimi nikamwambia twende bro wangu Yupo home amemaliza form six pcm atupige pind Kama unavyoonaa walimu hapa hakuna wa physics Na mathematics itatusaidia akasema Mimi naenda kusoma tuition mjini
Basi Na Mimi nikaenda home bro akanipiga pindi likizo ikaisha nikalud shule Yule huyu rafiki yangu nikamkuta geto Basi tukakaa tukapiga story akanipa za mjini Mimi nikampa za kwetu kijijin Basi tukaenda kushare vitu ambavyo kila mmoja alisoma wakati wa tuition basi tukaulizana maswali tukalala asubuhi hao shule Basi Yule kitendo Cha Mimi kufanya mitihan tu tukimaliza anakuja anasema pale umejazana Nini Mimi namwambia walimu wametukataza kujadili mitihan ambao tayar umefanya Na kukusanya Basi tujadili unaofata coz brother angu alinisihi nikiwa kwenye chumba Cha mitihan nitulie nisiwe Na papara Wala haraka nikitoka Hilo somo nipige chini Basi Yule jamaa akawa hapendi walimu wakigawa mitihan yeye Safar Hadi darasani kwangu oya umepata ngapi Sasa Mimi sikuwa Na tabia ya kuficha mitihan yangu akifika akicheki Kama nimemzid sura inabadilika Kama yeye kanizid utaona anatabasamu then anapiga story Hapo anajua Hilo somo akaongoza darasa Zima Basi matokeo yakitoka wakibandika yote kwa ujumla akiona yeye Ni wapili Basi home akukaliki yaani anakuwa mkali Sasa Mimi nikaanza kumsoma tabia yake ilivyo Basi siku moja jamaa ake yeye wamesoma wote primary akaniambia wewe jamaa unawezaje kuishi Na Jonas ili Hali unamzid kitaaluma coz huyu jamaa hapend Mtu anaempa changamoto nikasema bwana Mimi sijui. Yeye masomo ya kiingereza, history, kiswahili alikuwa anaweza Sana ila ukija hesabu ilimshinda kabisa unaweza ukaona Mimi Nimepata 89 au 78 yeye Ana 49 au 42 Hapo Kuna watu wengne kibao ila yeye hata akipata history 90 mimi siwez kukosa 84 au 86 Basi ikawa hivyo mwisho akapanga akawa Na geto lake Na Mimi kwangu material tunashare Basi form four tukahitimu Basi Mimi tukaagwa kwa graduation Basi Mimi nikipokea zawadi mbali mbali Na yeye coz wazazi Wake walikuwa wananifahamu Mimi pia wa kwangu walifahamu hivyo tukakaa pamoja tukala Basi tukabaki kumalizia mitihan ya mwisho Basi tukafanya tukaondoka shule kila Mtu kwao Sasa kimbembe kikaja baada ya matokeo kutoka Kwanza bro alinipigia simu kuwa matokeo yametoka nipe namba ya shule nikamtajia akasema poah akacheki akaniambia hakuna one Kuna 2 two Tatu Na Kuna 3 tano Hizo zingne Ni four Na Zero Mimi hazinihusu nikasema Basi Hizo two Tatu ni Mimi jamaa Angu wa muda mrefu Na jamaa mmoja hivi Basi nikampa index namba yangu Na ya jamaa akasema poah akacheki akaniambia Nina two jamaa Angu Ana three Basi Mimi nikachaguliwa kwenda advance EGM yeye akaenda kusoma ualimu maalumu kufundisha nursery Basi Hivyo nikapiga nikamaliza six nikachaguliwa muzumbe Morogoro information technology mkopo ukazingua sikwenda Basi nikaingia kupambana kitaa Basi siku moja Yule jamaa hakuna kazi akasema kuwa twende Moro tukalime poah Mimi kwa kuwa Kuna jamaa Angu kule Na pikpik Hapa ninayo tutaenda Basi yeye Yupo Dodoma Basi Mimi nikamwambia nipo huku njombe njoo Hadi njombe akafika home nikamwambia wife kuwa huyu ni rafiki yangu yangu tumeschool wote Basi wife akachinja kuku tukala nikamwonesha chumba Cha kulala Basi akalala Hadi asubuhi Basi akasema anaumwa hivyo hawezi kuunga Safar Basi nikamwambia apumzike Mimi nikajiandaa nikaenda ofisini kwangu baadae nikalud kwenda kumcheki aisee Hali imebadilika Basi nikamchukua kwenye pikpik yangu Hadi hospital akalazwa wakamtundikia madrip Basi siku Kama Tatu hivi akaruhusiwa kulud tukapanga Safar ya yeye kwenda mlimba baadae Mimi naweka Mambo yangu sawa then nitakuja akasema Poah Basi nikamuuliza kutoka Hapa Hadi makambako Ni 12,000 kutoka makambako Hadi mlimba kwa treni 9800 jumla 21800 Kama Una 30,000 inatosha akasema Mimi kwa kuwa Una pikpik naomba niende nayo nikamuuliza Una leseni ya udereva maana Huo mraba Ni mkubwa lazima traffic wakung'ang'anie akasema natoboa Ila leseni Sina nikamwambia sikiliza wewe nenda Mimi nitakuja nayo mwenyewe maana najua sehem ambazo huwa wanakaa Hivyo hawatanisumbua kwa kuwa Nina leseni tofauti Na wewe akasema hapana Basi sikutaka nibishane nae Sana nikamwambia sikiliza toka Hapa nenda Hadi makambako ukifika ipandishe kwenye gogo ili usiumie Sana Basi akasema Poah hela Hana ikanibid nichukue sh 45,000 nikamwambia weka mafuta Hadi makambako ukifika pale ongea Na Porter mmoja Bei gani kusafirisha pikpik muda Huo nimempa Hadi blue card Basi akawasha wese huyo way to mlimba basically amefika pale kusafirisha pikpik kwenye gogo wanasema 60k Basi akachuka option ya kuweka mafuta Na kwenda kwa pikpik Hapo Sasa inatakiwa either alud mjomba apitie stop lupembe au aende Hadi mafinga akatishe kwenda mlimba basi yeye akasema mbele mbele Yao nyuma Kuna pancha Basi akapiga Safar akafika mafinga kabla hajachepuka pikpik ikapata pancha Basi akanicheki nikamtumia 15000 Basi akalud nyuma mafinga akaziba then akaona muda umeenda ikambd alale alisema alilala kwa stend Basi asubuh yake akafika kule kulikuwa Na Rafiki yangu ambae nimesoma nae advance nikamwambia huyo Ni Kama Mimi hivyo Basi mtreat Kama vile unavyonitreat Mimi Basi jamaa poah mkuu haina shida Basi akatulia siku ya kwanza ila nilishamtahadhalisha kúwa kufanya boda boda ugenini Kuna changamoto yake akasema Yuko tayar kuzikabili nikamwambia go ahead Basi huyu jamaa Angu wa advance yeye kule Ni kwao hivyo Kuna geto alikuwa anatumia pale kwao kabla hajajenga Basi Ndo huwa tunafikia pale coz kule kwake amejenga chumba Na sebure kwa Hyo akaoneshwa kule kwao Na jamaa ingawa syo mbali basi siku ya kwanza kijiweni hakupata Mteja akalud akanicheki nikamwambia nilikuambia lkn coz Hyo njia watu wanaenda chisano Na Chita muda mwingi wanatumia bajaji au Hizo gari za kilamsa Hivyo kwa boda sidhani Basi akasema anajaribu siku inayofuata Na nyingne Kama biashara itakuwa mbaya ataacha Na kuingia kwenye kufyatua tofari Na kuziuza mbichi Basi siku iliyofuata kikachanganya siku Hyo akaenda chisano akachukua barmaid akapeleka kwao Na rafiki yangu Mimi Basi Yule jamaa kile kitendo kikamuuma akanicheki akaniambia nikmpigia jamaa akakana Basi nikamwambia ngoja nakuja mwenyewe Basi kweli nikaenda nilivyofika tu Basi kwa kuwa kule nilishaenda Zaid ya Mara mbili ko watu wananifahamu Hadi Nina kiwanja kule Basi washikaji wakaniambia kila kitu kumbe pikpik alishampa Mtu anampa marejesho kwangu anasema pikpik imepark Basi nilivyofika siku nikakuta jamaa mmoja anapita Na pikpik yangu nikampiga mkono akasimama nikamwambia nipeleke sehem fulani Basi akanipeleka sikumwambia chochote Yule jamaa nikafika yeye akalud baadae kwa sababu nilichukua Namba akaja akanifata Hadi kijiweni Tena Basi nikaonana Na jamaa zangu tukapiga story Basi nikamuuliza Yule jamaa Angu ambae yeye kule Ni mgeni kuwa Yule uliempa pikpik unamfahamu Na je umempa tangu lini?? Mbele ya huyo rafiki yangu mwingne ambae kule yeye Ni mwenyeji akajikanyaga kuwa Yule jamaa Hana shida alivyomwona tu nikasema mkuu wewe Una wiki mbili huku halaf tayar umemwona kuwa Hana shida au wewe ni shekhe Yaya??? Basi kuhus siku ameanza leo Yule jamaa akaacheka Basi nikatulia siku iliyofuata asubuh nikaingia kijiweni nikamkuta Yule jamaa tayar kashatinga pale nikamuuliza VP bhana nataka nilete pikpik Hapa Ila nimpe kijana VP nitapata kijana mwaminifu akasema utapata tu ok akasema pikpik gani nikamwambia sunlog cc150 akasema unapata tu Boss Mimi mwenyewe natafuta Sana nikamwambia Na Hyo akasema ya jamaa mmoja hivi nikasema moyon tayar umejaa kwenye mtego nikamwambia jamaa yeye Yuko wapi Basi akasema Ni mgeni nikamuuliza toka amekupa Ina muda gani akasema Ana Kama wiki Na siku Basi sh ngapi kwa siku akasema 8000 Basi nikasema Poah nikalud home nikawakuta wamebeba vibao wao wanaita makombora wanaenda kukimbizi tofari Basi nimejaa panic ila jamaa hajui Basi nikachukua jembe nikaenda kulima site Basi nikaweka sawa nikaanza kununua tofari zilizochomwa Basi Basi huyu jamaa Angu wa muda wote akasema Ana 70000 ila anahitaji 80000 achukue mchele kwa kule Bei Ni ndogo akienda kuuza Idodomya atapata faida kubwa Sana Hivyo kule family yake haijakaa sawa Basi akaomba nimpe Hyo then ataludisha Basi nikampa bhana Mimi sikutaka rafiki yangu aharibikiwe Basi nikampa tukaondoka tukaenda Hadi kwa Yule jamaa wa pikpik tukaweka makubaliano Na Mimi mwenyewe Basi nikalud nyumbani asubuhi nikapigiwa simu kuwa Baba Angu mzazi amefariki Basi ikabid niondoke nimpigie wife awaandae watoto tuanze Safar ya kwenda ya kanda ya ziwa Na Mimi niondoke kuelekea huko huko Basi nikamwambia Yule jamaa afanye linalowezekana ili tofari zangu zile ambazo nilishanunua afanye mchakato azipeleke site Basi nikaondoka muda Huo nimempa 80,000 Basi nipo msibani Yule jamaa Angu mwenyeji akasema huyu jamaa ako ameenda kwa Yule boda amemwambia kuwa umepata matatzo Hivyo ampe hela ya wiki hii inayoisha leo Na kesho ili nimtumie Na Mimi nifanye mchakato niende msibani Basi Yule jamaa akampa laki moja Na elfu Kumi mbili Basi akaenda kwa Mama ake Na rafiki yangu akachukua mchele akatoka SAA Kumi usiku akaondoka Sasa Hadi leo Hyo 80 Na Ile 112 hajawah kunipa hata kidg Na Sasa juzi Kati nikakuta amenitumia Chet chake Ety anaapply Mambo ya sensa nikamwambia wewe jamaa acha zalau Hapo Kuna haja ya kuwa Na rafiki wa namna Hyo?
I didn't read it. Naomba summary maana naona story za kitoto tu.
 
Dogo umeandika sana huku summarize vichwa vina mambo mengi nimeshindwa kuisoma yote... Ila kuwa makini na rafiki yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom