Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 951
- 2,879
Hii picha ina trend sana. Uchumi wa Tanzania uko mikononi mwa watu wachache,wengi wanaishi maisha ya hali ya chini sana.
ndiyo wa uchumi wa dunia ulivo acha kuropoka kama huna statistics na nani amekwambia nyumba ndiyo kiashiria cha uchumi mzuri?Hii picha ina trend sana. Uchumi wa Tanzania uko mikononi mwa watu wachache,wengi wanaishi maisha ya hali ya chini sana.View attachment 2950167
Kama wee ni Kiongozi na hili ndio lingekua suluhishi lako..basi Mama yako alitakiwa kufanya si kingine zaidi ya kutoa Mimba yako .Waamishwe hao wenye vijumba
Unaweza kua na Uchumi mzuri alafu ukaishi kwenye kijumba kama hiko?.ndiyo wa uchumi wa dunia ulivo acha kuropoka kama huna statistics na nani amekwambia nyumba ndiyo kiashiria cha uchumi mzuri?
Kama we ni kiongozi ungefanya nini kuhusu hilo eneo?Kama wee ni Kiongozi na hili ndio lingekua suluhishi lako..basi Mama yako alitakiwa kufanya si kingine zaidi ya kutoa Mimba yako .
Wee Si mzigo tu Kwa Taifa Bali Kwa Wazazi wako
Nimeangalia hiyo picha mara mbili, kwa kweli we have a lot to work on as citizen of this countryUnaweza kua na Uchumi mzuri alafu ukaishi kwenye kijumba kama hiko?.
yani unataka kusema waganga kama hawa wa kwetu wanapiga ramli nakupandisha maruhani au wao wanatiba zile za asili..?? hebu fafanua hapo..😂Uchumi wa kibepari ndo ulivyo. Almost dunia nzima iko hivyo sema wenzetu hawatupi nafasi ya kuona upande wa pili wa maisha yao. Ulikuwa unafahamh hata Madrid, Spain kuna waganga wa kienyeji?
Ndiyo kama hao wa maruhani.yani unataka kusema waganga kama hawa wa kwetu wanapiga ramli nakupandisha maruhani au wao wanatiba zile za asili..?? hebu fafanua hapo..😂
Sasa nmeelewa kua Hata Kichwa Cha habari Cha Huu Uzi, hujakielewa.Kama we ni kiongozi ungefanya nini kuhusu hilo eneo?
wish to see them..🤣Ndiyo kama hao wa maruhani.
Mbona swali jepesi sana hilo. Achana na uchumi wa Tanzania kwanza maana ni mada pana na endelevu, swali ni dogo tu na linausiana na maamuzi yako wewe kama kiongozi kuhusu hilo eneo sasa hivi na uchumi huu huu wa watu wachache....Sasa nmeelewa kua Hata Kichwa Cha habari Cha Huu Uzi, hujakielewa.
Zero IQ.